huyu jamaa hatufai kwa sababu emetuibia sana na bado anaendele kutuibia kupitia uwekezaji wake wa kitapeli hatakua na msaada na watanzania arudishe kwanza fedha zetu
Kwa kweli nimeupenda utendaji wa shughuli za huyu kijana katika siasa ni mfano wa kuigwa na vijana wenzake walioko kwenye siasa kanivutia sana mpaka nimeanza kufatilia siasa.
Katika uchaguzi wa tarehe 14 CCM kushinda kwa asilimia 80 kwa sababu uwezo wanao, sababu wanazo pia wagombea wao ni watu makini na wanaokubalika na jamii ya watu walio wengi tofauti na vyama pinzani.Tafiti iliyofanywa shirika la feed Africa ktk mitaa yote ya mkoa wa Arusha wasema ktk mitaa 153...
Hivi wanajamvi wenzangu tulisikia mengi ya kimaendeleo ambayo viongozi wa kuu wa chadema walikuwa wakituambia tangu kufanyika kwa uchanguzi mkuu 2010 kama UJENZI WA VISIMA VYA SABODO,UJENZI WA OFISI YA CHAMA MAKAO MAKUU,UJENZI CHUO CHA UONGOZI KIBAHA na mengine mengi lakini ktk haya matatu...
katika utafiti niliofanya nimegundua kuwa ccm ni chama imara na chenye nguvu nchini kuliko vyama vyote vya siasa nchini.
1.ni chama chenye wana chama wengi na hai kuliko vyama vyote vya siasa
2.ni chama chenye kuwajali wananchi wote.
3.ni chama chenye viongozi imara na weledi wa mambo kama...
Demokrasia ya kweli tanzania itawezekana pale ccm itakapopata ufahamu kuwa haina hati miliki ya tanganyika kwa sababu imejisahau na kufikiri kuwa kila mawazo mapya ambayo hayatokani na ccm hayafai kusikilizwa na watanganyika ifike mahali sasa ccm itambue tanganyika sio ya ccm bali ni ya...
Katika pita pita yangu kwenye kata zenye uchaguzi mjini arusha nimekutana na magamba wanapita nyumba kwa nyumba wakiwashawishi wananchi wasiwachague wagombea ambao sio "WAZAWA" wa maeneo husika kata hizo ni elerai Kata ya kimandoli.Je huu sio ukabila jamani?
Uongo mwingine bana hivi wewe unaetupa hii nyuzi unamfahamu mwigamba kweli au umekurupuka inaonekana wewe ni mchonganishi!!! wala sikukaribishi huku javini mnafiki mkubwa unakaa kimagamba magamba SHINDWA CCM KTK NGUVU YA UMMA.
Sikutegemea vijana wa leo kama shonza na wengine wawe wavivu wakufikiri kiasi hicho na kuanza kulumbana kwa mambo yasiokuwa na tija kwa TAIFA wala chama chao kwa sababu ya njaa tu na kwa faida ya watu wachache ambao awalitakii mema TAIFA LETU pia CDM."!!makwazo haya budi kutokea lakini ole wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.