GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
NGUMU KUMESA EEH?
Au mkuu ulipokuwa unaongea ulikuwa na the Kiroba!
Kuna wimbo wa taarabu siku hizi unaitwa ' PAKA LA BAR' tafadhali usikilize.
NGUMU KUMESA EEH?
Au mkuu ulipokuwa unaongea ulikuwa na the Kiroba!
Gazeti nimelisoma zaidi ya mara mbili sijaamini macho yangu. Hata hivyo, kilichoandikwa hapo kimefupishwa sana. Kwa kuwa kina wahariri wazoefu sina haja ya kuhofia taarifa yake. Ukweli nchi yetu iko pabaya. Wakituhumiwa kuwa wanaua waandishi wanalalamika.
dawa yao walilinua mnatoa remix aidha kwa kuchapa nakala zingine au kuirudia habari kwenye nakala ya wiki nyingineRaha ya habari hii nawashauri msome JAMHURI. Lipo mitaani, lakini Dar es Salaam nakala nyingi zimenunuliwa na walioandikwa. Hii ni wiki ya pili Jamhuri linahujumiwa. Wiki iliyopita kulikuwa na habari ya Naibu Spika na madudu (vielelezo) vyote vya kina Kawambwa juu ya uamuzi wa mfumo wa kutumia kwenye mitihani ya kidato cha nne 2012. Magazeti yote Dodoma yalipigwa kiberiti. Hatufi moyo. Tutaendelea kuyafunua tu. Tunaanzia Wanapoishia Wengine!
inabidi ifanyike overhaul ya nguvu kwenye jeshi la polisi sasa. kila siku twasikia maovu yao mara wakamatwe na bangi, waibe vidhibiti ie, madawa ya kulevya, wakamatwe na "mambo ya kinana" nk. this is too much. polisi badala ya kukamata wahalifu, wao ndo wamekuwa wahalifu.
Sasa ni wazi kwamba aliyekuwa kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Mwanza ameuawa na genge ndani ya Polisi akiwemo Kamanda Polisi anayejulikana kwa jina la Muna, gazeti la Jamhuri limeripoti katika ukurasa wa Mbele kabisa (Nimesoma kwenye website yao Deo Balile akilalamika gazeti kununuliwa kwa jumla na watu wasiojulikana)
Kuvuja kwa siri hiyo kumetokana na mmoja wa jambazi sugu ajulikanaye kwa jina la Edward Malele kujisalimisha ktk vyombo vya ulinzi na kutoa siri zote.
Jambazi huyu aliombwa wa genge ndani ya polisi kushiriki katika mpango wa kumwua kamanda Barlow. Akakataa kwa kuwa aliwahi kumfahamu kwa karibu kamanda Barlow.
Baada ya kukataa kutekeleza agizo hilo baada ya siku chache alishtakiwa kwa kosa la ujambazi na kuswekwa Rumande.
Akiwa huko ndani ya wiki moja alisikia habari za kifo cha kamanda Barlow. Akajua akina na Muna aliowakatalia wamefanya kazi aliyoikataa yeye. Na alijua yuko mahabusu kwa sababu ya kukataa mradi huo.
Baada ya kukaa huko muda mrefu bila shitaka kueleweka wala mshataki wake huko Lupango walimua kumwaichia. Akagoma kutoka kwa sababu anajua kuwa, kwa kuwa amepelekwa huko ili kuficha siri hivyo, akitoka lazima atauawa. Baada ya muda akaamua kukubali kutoka lupango na kukimbilia kituo cha JWTZ huko Mwanza.
Huko JWTZ Alijieleza vya kutosha na wanajeshi walimwonea huruma wakampa Nauli na Tsh 10,000/= ya kula njiani ilie aende Bungeni huku wakiwa wamemkabidhi namba za simu za wabunge 2 wa upinzani ili wamsaidie.
Kutokana na kutokuelewa kwake alipokuwa anashangaa shangaa katika eneo la Bunge, alikamatwa na polisi wanalinda eneo hilo. Polisi hao wakapiga simu Dodoma central na Mwanza. Haraka haraka mwanza wakataka arudishwe mwanza kwa kuwa ni jambazi sugu.
Hata hivyo, kwa katika kurupushani hiyo taarifa zimeshameshamfikia Pinda na Nchimbi ambapo gazeti linaripoti kuwa Pinda ameagiza kijana huyo apewe ulinzi na asirudishwe Mwanza.
Hata hivyo amepelekwa kusiko julikana.
Kwa mapana zaidi soma gazeti la Jamhuri KAMA zinanunuliwa kwa kasi na watu wasiofahamika.
My take;
CCM inaua waandishi na polisi ambao imetofautiana nao. Huo ndio ukweli, watake wasitake. CCM ni janga la kitaifa. na Imeshindwa kuongoza nchi.
From this generation Bilionea.
Hello memberz mambo vp? Nimejiunga na hii Great thinkerz camp pamoja sana.
jitahidi kuwa unaangalia mambo from different perspective,kisha unatumia logic kuconclude.Lazima uwe na akili ya maiti kutetea polisi wanaofanya biashara ya bangi.
kuna mchungaji mmoja ana kakibwagizo kake ka kuombea sadaka anasema "watashindana lakini hawatashinda"Sasa wameanzana wenyewe kwa wenyewe hatari sana,na wakuu tujuzane hasa huyu aliyefanya mpango wa kummaliza wana chuki au imekuwaje hasa,mwenye data zaidi au mwenye hiyo habari nzima iwekwe humu ndani....
Serikali imejaa magaidi tu hamna hata mmoja msafi alafu Chadema wakiwapinga mwisho wa siku wanaonekana wanatetea fujo na kuishia kuwafungulia kesi.
Mkuru nchi imemshinda maana haonyeshi uongozi wake bali nchi inaongozwa na watu wengine kabisaaaa yeye anakula kuku tu ikulu alijisemea pinda liwalo na liwe...
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Huko JWTZ Alijieleza vya kutosha na wanajeshi walimwonea huruma wakampa Tsh 10,000/=
Sasa wameanzana wenyewe kwa wenyewe hatari sana,na wakuu tujuzane hasa huyu aliyefanya mpango wa kummaliza wana chuki au imekuwaje hasa,mwenye data zaidi au mwenye hiyo habari nzima iwekwe humu ndani....
Serikali imejaa magaidi tu hamna hata mmoja msafi alafu Chadema wakiwapinga mwisho wa siku wanaonekana wanatetea fujo na kuishia kuwafungulia kesi.
Mkuru nchi imemshinda maana haonyeshi uongozi wake bali nchi inaongozwa na watu wengine kabisaaaa yeye anakula kuku tu ikulu alijisemea pinda liwalo na liwe...
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Huko JWTZ Alijieleza vya kutosha na wanajeshi walimwonea huruma wakampa Tsh 10,000/=
Sawa lakini humo kwenye gazeti huyo Malele kawataja hata Madiwani wa CCM na CDMMkuu, Kama unaweza kutuwekea nakala (scanned copy) ya hili habari tafadhali!