Recent content by chiefSAM

  1. C

    Zitto Kabwe: Askofu Gwajima samehe. Kusamehe ni adhabu kubwa zaidi kwa anayekukosea

    Sikieni ndugu zangu , katika maisha Mutakayoishi Duniani kuweni makini sana na watumishi wa Mungu halafu wanasiasa , hivi vitu havindagi pamoja , siasa unatakiwa uwe Muongo Mungu hapendi uongo , lakini pia jifunzeni kuwa lisemwalo lipo na kwanini usemwe wewe , na kama umesemwa ww mtumishi wa...
  2. C

    Nigeria:Dada graduate Jehova Witness afariki kwa kutokuengezewa Damu kwa sababu ya Imani hairuhusu.

    Acha kuwadanganya wenzako, Mungu hajakataza kuongezewa damu amekataza kula damu watu wangu wataangamia kwa kukosa maarifa , kanisa lolote linalokuzuia usiende hospitali ama usipate tiba yoyote kwa kudai kuwa Mungu atamsaidia , huko ni kumjaribu bwana Mungu. Kila jambo linanafasi yake na Wakati wake
  3. C

    Mzee wa Upako: Lowassa hawezi kuwa Rais 2020, CHADEMA wanahusika kunichafua

    Iko jehanam inawasubiri manabii feki , Jehanamu anayoenda ni ile ambayo wakiokuwa wanazijua siri za Mungu na Kuzigeuza kwa Maslahi yao Manabii feki wapo wengi sana na Mwaka huu wataumbuka sana. Mimi Binafsi nawashangaa wanaomuamini Lusekelo wakati inaonekana dhahiri sio mtumishi wa Mungu ni...
  4. C

    Nabii Frank Julius Kilawah mnamsoma?!

    Biblia inasema zipimeni roho kama zatoka kwa Bwana au la Maana hata wajumbe wa shetani hufanya miujiza pia , lakini pia niwashauri kuwa kuna ulimwengu wa roho ulimwengu wa roho una pande mbili , upande wa Mungu aliyeumba Mbingu na nchi na upande wa shetani hapa lazima uwe mwanachama katika...
  5. C

    Wee Dada,God is seeing you!

    Msimlaumu , utotoni ili watu wajue unajua kuandika unachora kwenye milango , huyu atakuwa amesoma English course ., hapo anaona kapatia ijapokuwa havina mantiki
  6. C

    Kwa mliowahi kwenda scoan au kwa TB Joshua hii ni halali au nimetapeliwa

    Asikiae na afahamu: mwanadamu ili afanikiwe katika jambo lolote ni lazima awe na uhusiano mzuri na Mungu aliyeumba mbingu na nchi Mahala popote pale ambapo watu hawaitwi kuokoka iwe kwa mtumishi yoyote yule ila anatangaza miujiza tu na mafanikio ndugu zangu muogopeni mtu huyo na Msiende katika...
Back
Top Bottom