Recent content by ChiefmTz

  1. C

    Kwanini Iran imezipita Ethiopia na Liberia?

    Iondoe Liberia Kwa sababu ni nchi iliyonunuliwa na Wamarekani Kwa AJILI ya watumwa
  2. C

    Wachagga walitaka kuunda nchi yao (Chagga State), Mwl. Nyerere akaomba wasifanye hivyo

    Mwandishi amekusudia kupotosha ukweli. Mbona hajaeleza uhasama Kati ya Wakibosho na Wamachame.
  3. C

    Maadui wa Tanzania wafikia watano

    Thread yako ni kueneza chuki
  4. C

    Naomba ufafanuzi kwa anayetumia majiko haya ya induction je yanafaa kwa uchumi wa kitanzania

    Ni mazuri sana kama mtu muangalifu na yanadumu sana. Nilikuwa nalo lilikaa miaka 6
  5. C

    Baada ya kauli ya Rais kuzuia kuuza Mazao nje ya Nchi, bei zimeshuka

    Mimi sikati tamaa. Mwaka huu nimepigika lakini siachi
  6. C

    Baada ya kauli ya Rais kuzuia kuuza Mazao nje ya Nchi, bei zimeshuka

    Wewe ndio fala ambaye hujawahi kumiliki hata ekari moja ya Shamba. Sisi tunaolima ndo tunaujua ukweli. We ni Mshenzi tu wa kiwango cha uprofesa tuliza makalio. Hapa ninavyokujibu nipo Shamba namalizia kuvuna Alizeti
  7. C

    Baada ya kauli ya Rais kuzuia kuuza Mazao nje ya Nchi, bei zimeshuka

    Kwa taarifa yako wanaonufaika na bei sio Wakulima bali ni madalali na wafanyabiashara ya mazao
  8. C

    Suala la DP WORLD na chuki za Watanganyia dhidi ya Wazanzibar

    Mimi ni pro Mkataba. Aliyetoa kauli ya ubaguzi ni Tundu Lisu. Unaowashutumu ni Watanzania wa Bara ambao umewaita Watanganyika. Kwa nini na wewe usiwekwe kwenye kundi la Wabaguzi?
  9. C

    Kuweni makini na mchanga wa kaburini

    Lakini Wazungu nao wamefikia hapa kupitia fikra hizi hizi
  10. C

    Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

    Ahsante sana kwa story tamu yenye mafunzo. Baada ya hii, ni imani yangu kuwa utawapa vijana uzoefu katika biashara ya Boda.
  11. C

    Ashakhum si Matusi: Tuliozaliwa nje ya ndoa wote ni wana haramu

    Na je wanaozaliwa ndani ya ndoa baada ya mama kuchepuka, wanaitwaje?
Back
Top Bottom