Mbona hiyo ni pesa ndogo tu? Acha wivu.
Imagine shule Ina wanafunzi 2000 x 300 ni sawa na Sh 600,000/ Laki Sita tu ambazo zinatosha kulipa Wafanya usafi Wanna tu@ 150,000/
Wewe ndio fala ambaye hujawahi kumiliki hata ekari moja ya Shamba. Sisi tunaolima ndo tunaujua ukweli. We ni Mshenzi tu wa kiwango cha uprofesa tuliza makalio. Hapa ninavyokujibu nipo Shamba namalizia kuvuna Alizeti
Mimi ni pro Mkataba. Aliyetoa kauli ya ubaguzi ni Tundu Lisu. Unaowashutumu ni Watanzania wa Bara ambao umewaita Watanganyika. Kwa nini na wewe usiwekwe kwenye kundi la Wabaguzi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.