Naweza kujaribu kukuelewa, lakini swali langu ni moja, kwa muda wa miezi 6 yote, mtoto anasoma na kupewa ahadi kwamba atapokea MSIMBO wake, kutoka NACTVET.
Inamaana kwa kipindi chote hicho NACTVET hawakutimiza wajibu wao WA kukagua vyuo? Mpaka mitihani ya semester inaanza (ambayo huwa inakuwa...
Kwa nyongeza Tu, hivi ni sahihi kwamba mwanafunzi anapokuwa amechaguliwa chuo X na akapenda kwenda chuo Y, alazimike kwenda kuripoti Kwanza chuo X,akalipe Ada asajiliwe ndiyo ahamie chuo Y, then nako akalipe ada kisha ahamishiwe chuo hicho? Really??
Nini maana ya hii requirement?
Ni sahihi kabisa kwamba, alichagiliwa At. Francis, na Haku-report, tulifanya mawasiliano na At. Francis, wakatutaka twende kwa ajili ya ku-verify kama maamuzi ya kubadili course ni ya mwanafunzi mwenyewe, TULIFANYA HIVYO!
Tulipofika SENGEREMA COLLEGE OF HEALTH SCIENCES, walitwambia HAINA...
Hivi Uongozi ni wa namna gani? MTOTO ananiambia Uongozi WA chuo ameamuru Wanafunzi ambao NACTE hawakuwapelekea misimbo WARUDI NYUMBANI!
Yaani unampa mwanafunzi nafasi,unataka alipe Ada na michango mongine ya chuoni, analipa! anasoma mpaka semester inaisha, halafu unamwambia "URUDI NYUMBANI"...
Ninaandika haya kwa masikitiko makubwa, kama mzazi! Iko hivi!
Nina mtoto, alimaliza kidato cha NNE mwaka 2024, alifaulu kwa kupata daraja la kwanza,(division one).
Katika kushauriana,tukiamua kumuombea vyuo vya Kati kupitia NACTE, (CENTRAL ADMISSION SYSTEM), tulilipa kila kitu na tuliomba...
"Ana jukumu la MALEZI"
Kwani maana ya MALEZI ni nini?
Nani aliamua kuvunja ndoa? Ni wewe au ni yeye? Sababu za kuvunja ndoa umesema "sio Jambo la muhimu" lakini kama mkijua, kuna gharama kubwa sana watu mnapoamua kuishi pamoja na kuanzisha familia.
Kifupi mkishapata watoto, kwa sehemu kubwa...
Lawama zinawaangukia Baraza la MITIHANI (NECTA) Kwa sababu,wao na wazara ya elimu pamoja na TAASISI YA ELIMU (TIE), Wanashiriki moja kwa moja katika mchakato mzima wa mabadiliko ya mtaala,!
Hivyo, kufuatia mabadiliko mkubwa yaliyofanyika, walipaswa kuwa na maandalizi sahihi yanayomsaidia mtoto...
Labda mpaka JamiiForums watusaidie kulisemea ili hatua za haraka zichukuliwe!
Na option pekee iliyopo ili kuwapa watoto wetu haki, ni NECTA KUREKEBISHA MFUMO WAO ukubali USAJILI wa Masomo 7, (kama ulivyokuwa awali)
Kinyume na hapo, Wanafunzi wetu wamechinbiwa shimo refu Sana, kwani watakuwa...
Ninsahihi, lakini wale walioko field, mkondo WA jumla, wanalazimisha kuanza kusoma BIOLOGY wakiwa kidato cha pili, (japo hawakuichagua wakiwa kidato cha Kwanza).
Na kinachofanya walazimishwe kusoma kama QT (two in one) ni matakwa ya Baraza la MITIHANI, kwamba wanalazimika kuwa na Masomo 8...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.