Recent content by CHIEFMANGU

  1. C

    JamiiForums Tanzania Mtaala mpya haujaeleweka? Au tunacheza na maisha ya watoto wetu?

    Alitakiwa kufanyaje mkuu
  2. C

    JamiiForums Tanzania Wanawake kwa hizi akili, Mna haki ya kupigwa matukio

    Sina hakika kama umesoma kwa utulivu nilichoandika,umehitimisha kwa mihemko sanaaa! "Wanaume WA sasa hawana masculine" ukilinganisha na wanaume wa lini? Unasali au kuswali? Unaamini maandiko matakatifu au quran? Vitabu vyote hivi, vina hadithi nyingi za uhalisia, kwamba NGUVU YA MWANAMKE...
  3. C

    JamiiForums Tanzania Wanawake kwa hizi akili, Mna haki ya kupigwa matukio

    😂😂😂😂😂 Dada, umehukumu mapema sanaaa, how unasema nipo biased!? Tazama utetezi wako, mwanamke akimuacha mwanaume hata baada ya kuwekeza resources zake kwa mategemeo ya kuanzisha familia,unaona sawa! Lakini mwanaume akimwacha mwanamke, nongwa unaanza! Yote kwa yote, tangu kuumbwa kwa ULIMWENGU...
  4. C

    JamiiForums Tanzania Wanawake kwa hizi akili, Mna haki ya kupigwa matukio

    Lakini wanawake huwa hawapati kichaa? Hebu tafakari, kuna wanaume wanaojitoa kusomesha wapenzi/wake zao, baada ya kupata elimu huwageuka waliowasomesha na. kuanzisha mahusiano mpya kabisa (ilitokea hivi, mwanaume atatukanwa sana kwamba alikuwa mjinga kumsomesha mpenzi/mke), na wengi mtamtetea...
  5. C

    JamiiForums Tanzania Wanawake kwa hizi akili, Mna haki ya kupigwa matukio

    Nadhani kinachozungumzwa hapa sio mwanamke asome then akae Tu ndani, swala ni, kusoma,kufanya biashara, kupata nafasi ya Uongozi n.k tunafanya mwanamke aache kuwa mwanamke? Aanze kuwa mbabe, mwenye dharau, na KIBURI kwa mumewe? Kama hivyo ndivyo wanavyoamini, basi ni ukweli kwamba, miaka ijayo...
  6. C

    JamiiForums Tanzania Wazungu Wana-support Anarchy politics Africa ili nchi zishindwe kujenga uchumi wao Kuna vyama vya siasa vinapewa hela nyingi kuharibu amani za Nchi

    Mpaka hapa umeonyesha UPUMBAVU WA hali ya juu, kwa hiyo CHADEMA unateka na kuua watu, halafu serikali INAWAKINGIA KIFUA? CHADEMA imeteka watu wengi, akiwemo Humphrey POLEPOLE, (balozi mstaafu, mwenezi WA CCM TAIFA mstaafu) then serikali na vyombo vyake imenyamaza? CHADEMA imeua watu wasio na...
  7. C

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya Walokole ni kero kwenye nyumba za kupanga, wanapiga makelele sana. Ni janga kwa Taifa

    Na bar zilizo karibu na malazi ya watu, zinazopiga muziki usiku kucha mnawafanyaje?
  8. C

    JamiiForums Tanzania Nimeshangaa tumekulana wakati sikuwahi kufikiria jumla!

    Najiuliza maswali mengi sana, kwamba NI hamu za mwili Tu au Kesho ataniletea habari za "NINA MIMBA YAKO"?
  9. C

    JamiiForums Tanzania Nimeshangaa tumekulana wakati sikuwahi kufikiria jumla!

    Duuuh, sijafurahia hata kidogo, nilijikuta tu nimezini bila kupenda!
  10. C

    JamiiForums Tanzania Nimeshangaa tumekulana wakati sikuwahi kufikiria jumla!

    Naogopa Sana Tu, lakini usumbufu WA kulea na kuhuzunika kwa watoto kwa sababu ya makosa ya wazazi ni mbaya Sana pia!
  11. C

    JamiiForums Tanzania Nimeshangaa tumekulana wakati sikuwahi kufikiria jumla!

    Sasa hapo pesa imekosa nini tena?
  12. C

    JamiiForums Tanzania Nimeshangaa tumekulana wakati sikuwahi kufikiria jumla!

    Nimewaza Sana, kwamba yawezekana yeye alipanga bila Mimi kujua,likitokea la mimba sijui itakuwaje, maana sikuwa na mpango wa kuzalisha mtu kabisaaa!
  13. C

    JamiiForums Tanzania Nimeshangaa tumekulana wakati sikuwahi kufikiria jumla!

    Hii imetokea J.mosi ya juzi!
  14. C

    JamiiForums Tanzania Nimeshangaa tumekulana wakati sikuwahi kufikiria jumla!

    Sasa unabisha ulikuiweeepo???
  15. C

    JamiiForums Tanzania Nimeshangaa tumekulana wakati sikuwahi kufikiria jumla!

    Hatuna makubaliano yoyote, Kwanza najutia kilichofanyika!
Back
Top Bottom