Recent content by CHIEFMANGU

  1. C

    JamiiForums Tanzania KERO Kulikoni Wanafunzi wa Sengerema College hawajapata Misimbo ya NACTE hadi sasa hivi? Tukiwapigia simu hazipatikani

    Nashukuruni kwa mjadala,Jambo limefanyiwa kazi na binti yangu umerudi chuoni kuendelea na Masomo!
  2. C

    JamiiForums Tanzania Kwa kauli hii na hasira hizi, Mungu tunusuru waja wako

    Weee mtoto WA mby jiji upo?
  3. C

    JamiiForums Tanzania KERO Kulikoni Wanafunzi wa Sengerema College hawajapata Misimbo ya NACTE hadi sasa hivi? Tukiwapigia simu hazipatikani

    Naweza kujaribu kukuelewa, lakini swali langu ni moja, kwa muda wa miezi 6 yote, mtoto anasoma na kupewa ahadi kwamba atapokea MSIMBO wake, kutoka NACTVET. Inamaana kwa kipindi chote hicho NACTVET hawakutimiza wajibu wao WA kukagua vyuo? Mpaka mitihani ya semester inaanza (ambayo huwa inakuwa...
  4. C

    JamiiForums Tanzania KERO Kulikoni Wanafunzi wa Sengerema College hawajapata Misimbo ya NACTE hadi sasa hivi? Tukiwapigia simu hazipatikani

    Kwa nyongeza Tu, hivi ni sahihi kwamba mwanafunzi anapokuwa amechaguliwa chuo X na akapenda kwenda chuo Y, alazimike kwenda kuripoti Kwanza chuo X,akalipe Ada asajiliwe ndiyo ahamie chuo Y, then nako akalipe ada kisha ahamishiwe chuo hicho? Really?? Nini maana ya hii requirement?
  5. C

    JamiiForums Tanzania KERO Kulikoni Wanafunzi wa Sengerema College hawajapata Misimbo ya NACTE hadi sasa hivi? Tukiwapigia simu hazipatikani

    Ni sahihi kabisa kwamba, alichagiliwa At. Francis, na Haku-report, tulifanya mawasiliano na At. Francis, wakatutaka twende kwa ajili ya ku-verify kama maamuzi ya kubadili course ni ya mwanafunzi mwenyewe, TULIFANYA HIVYO! Tulipofika SENGEREMA COLLEGE OF HEALTH SCIENCES, walitwambia HAINA...
  6. C

    JamiiForums Tanzania KERO Kulikoni Wanafunzi wa Sengerema College hawajapata Misimbo ya NACTE hadi sasa hivi? Tukiwapigia simu hazipatikani

    Aisee, wanacheza Sana na maisha ya watoto wetu, najiuliza hivi katika mambo sensitive namna hii wanafanya utani utani?
  7. C

    JamiiForums Tanzania KERO Kulikoni Wanafunzi wa Sengerema College hawajapata Misimbo ya NACTE hadi sasa hivi? Tukiwapigia simu hazipatikani

    Hivi Uongozi ni wa namna gani? MTOTO ananiambia Uongozi WA chuo ameamuru Wanafunzi ambao NACTE hawakuwapelekea misimbo WARUDI NYUMBANI! Yaani unampa mwanafunzi nafasi,unataka alipe Ada na michango mongine ya chuoni, analipa! anasoma mpaka semester inaisha, halafu unamwambia "URUDI NYUMBANI"...
  8. C

    JamiiForums Tanzania KERO Kulikoni Wanafunzi wa Sengerema College hawajapata Misimbo ya NACTE hadi sasa hivi? Tukiwapigia simu hazipatikani

    Chuo wanadai NACTE ndiyo wanaochelewesha USAJILI WA wanafunzi
  9. C

    JamiiForums Tanzania KERO Kulikoni Wanafunzi wa Sengerema College hawajapata Misimbo ya NACTE hadi sasa hivi? Tukiwapigia simu hazipatikani

    Ninaandika haya kwa masikitiko makubwa, kama mzazi! Iko hivi! Nina mtoto, alimaliza kidato cha NNE mwaka 2024, alifaulu kwa kupata daraja la kwanza,(division one). Katika kushauriana,tukiamua kumuombea vyuo vya Kati kupitia NACTE, (CENTRAL ADMISSION SYSTEM), tulilipa kila kitu na tuliomba...
  10. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Niko njia panda, Mzazi mwenzangu hataki kuwahudumia watoto kisa naishi nao mimi

    "Ana jukumu la MALEZI" Kwani maana ya MALEZI ni nini? Nani aliamua kuvunja ndoa? Ni wewe au ni yeye? Sababu za kuvunja ndoa umesema "sio Jambo la muhimu" lakini kama mkijua, kuna gharama kubwa sana watu mnapoamua kuishi pamoja na kuanzisha familia. Kifupi mkishapata watoto, kwa sehemu kubwa...
  11. C

    JamiiForums Tanzania Padri Charles Kitima ana chuki binafsi na Rais Samia na amekosa adabu na heshima kwa Rais. Rais Alifanya vyema sana kuondoka Kanisani bila kuzungumza

    Mnaoshabikia WAUAJI mnaumizwa na haya,lakini kwa wapenda haki ni furaha mnoooo!
  12. C

    JamiiForums Tanzania Mtaala mpya haujaeleweka? Au tunacheza na maisha ya watoto wetu?

    Lawama zinawaangukia Baraza la MITIHANI (NECTA) Kwa sababu,wao na wazara ya elimu pamoja na TAASISI YA ELIMU (TIE), Wanashiriki moja kwa moja katika mchakato mzima wa mabadiliko ya mtaala,! Hivyo, kufuatia mabadiliko mkubwa yaliyofanyika, walipaswa kuwa na maandalizi sahihi yanayomsaidia mtoto...
  13. C

    JamiiForums Tanzania Mtaala mpya haujaeleweka? Au tunacheza na maisha ya watoto wetu?

    Labda mpaka JamiiForums watusaidie kulisemea ili hatua za haraka zichukuliwe! Na option pekee iliyopo ili kuwapa watoto wetu haki, ni NECTA KUREKEBISHA MFUMO WAO ukubali USAJILI wa Masomo 7, (kama ulivyokuwa awali) Kinyume na hapo, Wanafunzi wetu wamechinbiwa shimo refu Sana, kwani watakuwa...
  14. C

    JamiiForums Tanzania Mtaala mpya haujaeleweka? Au tunacheza na maisha ya watoto wetu?

    Ninsahihi, lakini wale walioko field, mkondo WA jumla, wanalazimisha kuanza kusoma BIOLOGY wakiwa kidato cha pili, (japo hawakuichagua wakiwa kidato cha Kwanza). Na kinachofanya walazimishwe kusoma kama QT (two in one) ni matakwa ya Baraza la MITIHANI, kwamba wanalazimika kuwa na Masomo 8...
Back
Top Bottom