"Ana jukumu la MALEZI"
Kwani maana ya MALEZI ni nini?
Nani aliamua kuvunja ndoa? Ni wewe au ni yeye? Sababu za kuvunja ndoa umesema "sio Jambo la muhimu" lakini kama mkijua, kuna gharama kubwa sana watu mnapoamua kuishi pamoja na kuanzisha familia.
Kifupi mkishapata watoto, kwa sehemu kubwa...
Lawama zinawaangukia Baraza la MITIHANI (NECTA) Kwa sababu,wao na wazara ya elimu pamoja na TAASISI YA ELIMU (TIE), Wanashiriki moja kwa moja katika mchakato mzima wa mabadiliko ya mtaala,!
Hivyo, kufuatia mabadiliko mkubwa yaliyofanyika, walipaswa kuwa na maandalizi sahihi yanayomsaidia mtoto...
Labda mpaka JamiiForums watusaidie kulisemea ili hatua za haraka zichukuliwe!
Na option pekee iliyopo ili kuwapa watoto wetu haki, ni NECTA KUREKEBISHA MFUMO WAO ukubali USAJILI wa Masomo 7, (kama ulivyokuwa awali)
Kinyume na hapo, Wanafunzi wetu wamechinbiwa shimo refu Sana, kwani watakuwa...
Ninsahihi, lakini wale walioko field, mkondo WA jumla, wanalazimisha kuanza kusoma BIOLOGY wakiwa kidato cha pili, (japo hawakuichagua wakiwa kidato cha Kwanza).
Na kinachofanya walazimishwe kusoma kama QT (two in one) ni matakwa ya Baraza la MITIHANI, kwamba wanalazimika kuwa na Masomo 8...
Jambo hili mamlaka zinazohusika hazioni kama ni hatari, wala dharura!
USAJILI wa watahiniwa unaendelea, ajabu ni kwamba MFUMO WA BARAZA LA MITIHANI unataka mtoto asajiliwe Masomo yasiyopungua 8 na yasiyozidi 10, (kwa ushahidi niliotumiwa na mtaaluma WA shule anayosoma kijana wangu, MGULASI...
Unazungumza usilolijua, lakini Mimi ambaye nimepoteza wadogo zangu 2 tena wameuawa wakiwa nyumbani, unaniongezea hasira kiasi kwamba Hali ya ubinadamu dhidi yako inaondoka kabisa, ninakuona MPUMBAVU WA kiwango cha juu Sana, visasi mnavyotengeneza hamtaweza kuvimudu!
RISASI na magereza ndiyo...
Jitieni kuwa wenye haki zaidi ya wengine,au wenye kujifanya mnajua kilankitu wakati wote, na mlikuwa kila mahali, kuweni na uhakika, kwamba mliyowatendea wengine ni akina kwenu, unajua wakati ambao na nyingi mtageuka wahanga na wakalamikaji! Hamtakaa mtulie hakika, na maumivu yetu mtayasikia...
Ningewaelewa Sana kama wangefungua KESI kupinga matumizi ya RISASI kwa Askari polisi, maana wameshudia mamia ya raia wakiuawa kwa mtutu wa bunduki, Oct, 29!
Ndugu umesoma mtaala mpya na miongozo yake?
Au unazungumza kwa hisia Tu?
Wakati mwingine ukiwa haujui Jambo uliza, Jifunze, uelewe then toa maoni yako, nenda kasome mwongozo WA mtaala mpya then urudi hapa uone ulivyopuyanga!
Najiuliza, inawezekanaje MTAALA UMEBADILIKA lakini mfumo wa USAJILI WA wanafunzi kupitia Baraza la MITIHANI (NECTA) bado hauendani na matakwa ya mtaala mpya?
Tatizo ni kwamba hata kulitoa kutoka kwenye ulazima na kuwa hiari napo hawana uhakika,maana wanalazimisha watoto wote wafanyie mtihani bila kulisoma, huo mtihani watafanyaje?
Kwa hakika inatia hasira sanaaa, wanaharibu future za watoto wetu,sasa fikiria,tangu form one hajawahi kusoma BIOLOJIA, amefuka kidato cha mtihani wanamwambia anasajiliwa kufanyia mtihani somo ambalo hajawahi kulisoma, inawezekanaje?
Mtoto wangu anasoma shule ya sekondari MGULASI, iliyopo kata ya CHAMWINO, MANISPAA YA MOROGORO. (Anaingia kidato cha pili) Wakitumia mtaala mpya, ukianza rasmi mwaka 2025.
Mtoto wangu alichagua mkondo WA biashara, baada ya kupewa elimu ya kuchagua Masomo na wanataka nini wakiwa wakubwa.
Mwaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.