nawasalimu wataalamu wetu,kwa kiasi kikubwa tunaona furaha pale mnapotusaidia kuhusiana na afya zetu, ila leo naomba msaada sana kuhusiana na tatizo la kupooza kwa upande mmoja wa uso (facial palsy), ni kitu gani kinasababisha na nini tiba yake ili mtu arudi ktk hali yake ya kawaida? asanten...
hayo ni mawazo yake pastor lusekelo, ni vema tujaribu kujiuliza ametoa wazo hilo akiwa na maana gani na kingine tujaribu kujiuliza makusudi ya kuwepo na dini ni yapi, swala la nani achinje au asichinje ni wazo la mtu binafsi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.