Recent content by CHIEF JJ

  1. C

    Duh, walokole mnatuchosha - mnatuboa na mada zenu!

    Kama huna hela tulia usiwapangie maisha watu kila mtu atakufa kivyake,, masikini mnasumbuwa sana
  2. C

    Wakuu sielewi hii kitu nimemleta single maza kwangu ila mtoto wake analia Ahsubui mpaka jioni nahisi kuchoka

    Hii imenitokea hamu sina hamu nao kabisa, picha limeanza kwanza kanidanganya Ana mtoto mmoja wa miaka mitatu kumbe Ana mtoto mwingine anamaliza darasa la saba mwaka huu, kosa kubwa akanivizia hadi kashika mimba sasa ,, Nasema hivi KAA MBALI NA SINGLE MOTHER KWA AFYA YA AKILI YAKO,,,, Labda ukiwa...
  3. C

    Mshahara ushatoka uko mitano tena

    Acha tabiya za kimasikini wewe, na utakuwa mwalimu tyu
  4. C

    Confession about wauza mihogo coco beach

    Yani unaenda kula mihogo?? Tu au kuna lingine
  5. C

    Nasimama na Mkuu wa mkoa wa Dar, kutukumbusha kuwajibika

    Mijitu inazaliana sana ,imeendekeza ngono tu ,
  6. C

    Waziri Bashungwa umenasa kwenye mtego

    Unatabia za kichawi sana wewe
  7. C

    Naomba msaada wa kukutanishwa na tajiri Chief Godlove na Tajiri Chui

    Hivi hizo hela wanatoa wapi? Nahitaji kuzipata na mimi
Back
Top Bottom