Recent content by Chidylee1

  1. C

    ivi my lady afanyavyo ni sawa kweli?

    Sio sahihi anavyo fanya,,,,,, watu wa dini wanasema MDOMO ni kiungo kinachomtaj M/MUNGU... sasa iweje unaingiza sehemu za siri... Kama ilivyokua hupaswi kumtaja MUNGU chooni,,bas haipasw kutia sehemu za siri midomon (kwa wote mme na mke) hakuna alie kamilika kama nimekosea nirekebishwe..
  2. C

    Hodi hodi waungwana,,,

    ahsante,, nimeshakaribia.
  3. C

    Hodi hodi waungwana,,,

    Mie ni NDUGU yenu, Kwa UCKU na MCHANA. Tena ni SWAHIBA wenu, Kwa MAREFU na MAPANA. Natambua UTU wenu, Pamoja na UUNGWANA. Wema ni Tabia zenu, Aliyowapa SUBHANA. UKARIMU na ROHO zenu, na HAIBA ZAFANANA. HESHIMA na UPOLE wenu, Hamkuanza leo wala JANA. Hiyo desturi YENU...
  4. C

    Dakika 10 kabla ya harusi yako!!

    Unaenda kwenye dili.... Unafanikiwa kuutia mkwanja mkonon,, upo njian unarud unapata ajali,,
Back
Top Bottom