Duh mkuu kuna makemikal pale kwenye dawa je umepima vp kwa kujua kuwa hamna madhara?
Na umesema we muumin wa mda mrefu wa iyo njia umetumia kwa kpnd kpi ad sasa na umegundua vp kwamba hamna madhara ata yale ambayo yanajitokeza kwa mda mrefu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.