Recent content by Chidu Mangalili

  1. C

    Kuna ukimya na utulivu

    Enyi Watanzania,na washabiki wa siasa,hasa za hunu mtandaoni,huu ni wasaa wa kulia na kuomboleza. Sio kwa tofauti ile iwayo yote tudhubutu kukaribisha nafsini mwetu laana aliyoikataza Mungu. Tuungane tulie na kumlilia Mungu kwa hatima yetu. Ni lipi tunatarajia baada ya huyu kuondoka. Hakika...
  2. C

    Chato: Shule zote za Sekondari kuwa za Bweni

    Tarime hamjazuiwa kuiga mfano wa Chato. Kusanyeni mapato ya ndani vizuri halafu myapangie vipaumbele. Wenzenu wameamua hivi,je nyie mmeamua viwe vipi? Hata mikopo na wadau wa elimu mnaweza kufikiria kuvishirikisha.
  3. C

    UDSM acheni kuharibia vijana future zao

    Inawezekana kwako kaa kukosa umakini kwenye tests zako.Ona hata hilo neno marks ulivyoliandika,tena ukimaanisha mark 1.
  4. C

    Intaneti Afrika: Ni wapi Serikali zimefungia mtandao na hufanikiwa vipi kuubana?

    Naombatu mheshimiwa raiai utufungulie Internet. Hatuko tena kwenye mambo ya uchaguzi kwani tumemaliza salama na tumeahinda. Tuombe uturuhusu tuendelee na maiaha yetu ya kabla ya uchaguzi.
  5. C

    Marais Wastaafu wa Tanzania, wajengewa nyumba na Serikali

    Naomba pia mwanasheria utuwekee hapa kuhusiana na pension na michango ya watumishi wa kawaida mara wanapomaliza utumishi wao,yaani wanapokuwa mwamestaafu. Ni muda gani baada ya kustaafu stahiki kama hizi wanatakiwa wawe wameanza kupewa?
  6. C

    GE2020 Video: OCD wa Hai amwambia Mbowe hata afanyeje hawezi kumshinda mgombea wa CCM Hai

    Kama ameongea ukweli basi jina la chama libarikiwe.
  7. C

    GE2020 IGP Simon Sirro, mchukulie hatua kali OCD wilaya ya Hai

    Ameonesha ushabiki na uzalendo wa waziwazi. Jeshi la polisi mnatakiwa kutokuonesha hisia zenu za kisiasa. Hata kama una sababu binafsi za kuhakikisha kuwa unaemtaka ashinde utampigania kwa gharama yeyote ile. Hata kama ni ndg yako.
  8. C

    GE2020 IGP Simon Sirro, mchukulie hatua kali OCD wilaya ya Hai

    Kila aliyeiona clip ya polisi wilaya ya Hai akimhakikishia Mbowe kuwa hatashinda naamini kuwa atakuwa ameshtuka sana kwa uropokaji wa afisa huyu wa jeshi letu tunalotegemea kutokuonesha ushabiki au msimamo binafsi wa kisiasa.
  9. C

    GE2020 Tundu Lissu ndani ya Mwendokasi kuelekea Kariakoo

    Msije mkamruhusu afike mwisho wa bus,terminal. Sishauri ateremkie pale.
  10. C

    GE2020 Ahadi na Sera za Tundu Lissu katika Uchaguzi Mkuu 2020

    Huyu Lisu haeleweki. Anakuwa kama mwanafunzi aliyekaririshwa majibu ya maswali. Kila mkutano wake wa kampeni utamsikia akisema kuwa ilani yetu ya uchaguzi ni haki,uhuru,na maendwlwo. Hivi ndio hoja tu mlizo nazo CHADEMA? Sawa huenda ni mada za iilani. Kwnini basi msizinyabulishe zaidi kwa...
  11. C

    Asanteni sana PSU chini ya TISS kwa kazi nzuri na iliyotukuka mlioifanya kwa huyo aliyekuwa 'mtoto mpendwa'

    Kama mngejitafakari tu kidogo kuhusu nafasi yenu kama watawaliwa,basi msingejisumbua kwa mida yenu,MB za data kwenye sim zenu kutumika hovyo,na hata wishes zenu juu ya mtawala. ie mwenye maamuzi juu yenu. Hebu pambaneni na hali zenu na familia zenu!
  12. C

    GE2020 Tundu Lissu aache kuzungumzia masuala ya kupigwa risasi kila Mkutano

    Mgombea uraisi kwa tiketi ya Chadem ndg.Tundu A.Lisu anahitaji kuiachilia nafsi yake kwa kusamehe mabaya yaliyomkuta miaka mitatu iliyopita.Kuyaongelea kila mahali ampatapo wa kumsimulia,hasa majukwaa ya kisiasa,kutazidishia machungu kwake na wale wote wanaomhusu. Niliwahi kumsikia mwenyekiti...
  13. C

    TANZIA Mama mzazi wa Mwandishi Erick Kabendera, Verdiana Mjwahuzi amefariki dunia leo Jumanne Desemba 31, 2019

    Hivi mama yetu nae akisikia haya,hasa maombi ya mama Erick nae, atajisikiaje kama ana roho ya uchungu wa mama? Sent using Jamii Forums mobile app
  14. C

    Familia yenye furaha ni ipi?

    Haujanielewa wakati naona dogo lako jipya likiitabasamia Tz mpya? Sent using Jamii Forums mobile app
  15. C

    Familia yenye furaha ni ipi?

    Kwa kawaida baba ukikuta watoto wanalalamikiana mezani kuwa umechukua firigisi yangu au hiyo nyama umejipendelea, basi ujue wewe ni baba unayejua kuhudumia familia. Ingia mfukoni waambie wakajiongezee na vinywaji. "Baba lao" utashangaa wakukuambia ahsante mama na baba kwa chakula rumeahiba"...
Back
Top Bottom