Recent content by Chibwende

  1. C

    used pc from china

    ni kweli, lakini hawa jamaa wameniambia kua kwa kua mzigo wangu umezidi USD 300, basi watanifanyia free shipping via DHL mpaka nilipo
  2. C

    used pc from china

    habari wadau, kuna kampuni moja inaitwa si -electron ambayo inahusika na uuzaji wa computer used. malipo ya bidhaa zao wanafanya through western union na mzigo unakufikia kupitia DHL au Fedex mahala ulipo. naomba kufaham kama kuna mtu mwenye experience na kununua bidhaa kutoka kwenye kamouni hii...
  3. C

    msaada, laptop inakataa ku boot na caps & numb locks blinking for 5 times

    nimefanya ivyo ndugu yangu, nli google, nikaenda hp support forum lakin cjapata solution ya maana. mmoja alishauri kuifunika kwa dk kadhaa na koti zito au blanket hadi ipate moto alafu itawaka. nimefanya ivyo na wala haijasaidia kitu, japokuwa kwa baadhi ya waliochangia kwao solution hiyo...
  4. C

    msaada, laptop inakataa ku boot na caps & numb locks blinking for 5 times

    habari zenu wana jf.. nina laptop yangu aina ya hp 6535b, na nimeinunua used tangu 2012 na ilikuwa safi tu mpaka mwaka huu mwezi wa tano ilipogoma kuwaka mpaka leo hii! ilianza tatizo hili ghafla tu, ukiiwasha inawaka halafu caps lock na number lock zinakuwa zinablink kwa pamoja mara tano na...
  5. C

    wakuu mweNYE tUtorIalS za masterseRiEs strActural deSign sOftwaRE pleASE

    haina shida. youtube itamaliza shida yako hii. uki google utapata choices nyng za youtube then fungua unayoona inakupendeza zaid
  6. C

    wakuu mweNYE tUtorIalS za masterseRiEs strActural deSign sOftwaRE pleASE

    shida ni nini hasa? kuandika hujui au ndo akili yako ilivyokutuma? itabidi uanze kupata msaada wa uandishi mzuri kabla ya huu uliouweka hapa
  7. C

    mobile phones internet connections

    asante sana ndugu ilonga kwa msaada wako, nimegundua hii sim ina uwezo mdog kwani sim hii ninayotumia sasa connections zipo faster na wakati nipo kwny eneo hilo hilo na inatumia GPRS kama hii ndog ninayohangaikia kui connect
  8. C

    mobile phones internet connections

    asante sana asee, imekubal lakini inachukua mda mrefu sana kufunguka. nimejaribu kudownload operamini, lakin inakata alaf inasema network error, nifanyeje ili iwe faster
  9. C

    mobile phones internet connections

    wana jf, naomba msaada jins ya ku connect sim na internet. nina sim yang aina ya samsung GT C3212i inanisumbua kwel ku connect internet. nashindwa kuelewa shida ipo wap, na kitu kingine kuna jamaa flani wakat nipo chuo alikuwa anafanya kazi ya kufungulia watu internet kwenye sim zao, ilikuwa ni...
  10. C

    Story behind your date of birth

    hata mimi
  11. C

    please, naomba msaada mwenye ufahamu juu ya namna ya kupiga sim za mezani

    naombeni msaada kwa anayefahamu kwa sababu nimekuwa nikipiga sim kuongea na mkuu wa chuo nilichoomba lakini kwa line yangu ya tigo wananiambia kuwa niangalie vizuri number yangu kisha nipige tena. nimejaribu kwa muda mrefu sana bila mafanikio. please naomba msaada wa haraka kwa anayefaham juu...
  12. C

    Nape Nnauye: CCM tunapinga Uwepo wa Serikali Tatu.

    sure! mi ki ukweli sioni sababu ya kuupigania huu muungano
Back
Top Bottom