Recent content by chibupa

  1. C

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Namba ya simu ni 0755364899
  2. C

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Nina LG-D 855 imepata crack kidogo ya kioo cha juu nauza 180,000. Mpya ni 250,000
  3. C

    Mjerumani amchambua Lowassa, awashangaa Watanzania

    Ungemwambia maajabu mengine ya ccm kuwasafisha akina chenge wale wezi wa mabilioni na Raisi wa Tanzania kuuza unga
  4. C

    Mtoto alawitiwa ndani ya ofisi za CCM

    Hakuna pepo mbaya kama CCM
  5. C

    CHADEMA kuasisi mgomo wa madereva ni kwa manufaa ya nani?

    Mtoa post sijui umekula maharage ya wapi weweeeee, unahara hara hapaaaa!
  6. C

    Madaraka matamu bwana, wengi hawatoki hadi wamwage damu kwanza

    Kwa ufahamu wangu wewe ni liccm na umekerwa kweli na ukweli huu na umejipanga kumshambulia
  7. C

    Mambo yatakayoing'oa CCM madarakani October 2015

    Wamefanya mengi yasiyo faa
  8. C

    Madereva wasitisha mgomo: Kero zao kutatuliwa ndani ya siku 7

    Kikwete akili hana, eti alimpa Makonda ukuu wa wilaya kwa sababu Makonda alimpiga mzee warioba
  9. C

    DC Makonda hapa nini kilikusibu

    Wangelipiga hata kisu jinga hilo, wange mfanya kama yeye alivyo mfanya warioba
  10. C

    Prof. Muhongo atoa data za uchumi wa Gesi na jinsi Tanzania ijayo itakavyonufaika nao

    Wamesha gawana vitaru na wachina zamaaaani,yeye ndo analeta pumba zake hapa, mlisema hivyo hivyo mlipogundua dhahabu,tanzanite na almasi lakini mpaka Leo tupo kama tulivyo, prof muhongo si ndo huyo aliyekuwa anaingia bungeni na maducument ya uongo? Leo unakuja humu kumsifu kwa nyimbo na...
Back
Top Bottom