Uislamu na Ukristo ni dini moja iliyotokana na Ibrahimu baba wa Imaan lakini mapokeo ya waarabu na mapokeo ya wazungu yakawa tofauti lakini chimbuko ni moja na ndio Dini zinazoongoza kwa kujiona Bora kuliko imani zingine zote na ndizo zinazoongoza kwa kutenga wengine kama sie wapagani na waabudu...
Acha ujuaji kwenye vitu usivyovijua ndugu yangu.Viwanja vya mazoezi vinajengwa hata 10 kwa mtindo huo kwa maana nin kwaajili ya mazoezi na mechi za ndogo za mazoezi.Kama kweli mtu wa football fuatilia pale Crrington uwanja wa mazoezi wa machester United kuna viwanja vngapi na vimekaaje cheki...
Dah mie nililea mimba hewa na watoto mapacha wakazaliwa halafu wakafa nikaombwa na hela ya kuwafanyia arobaini dah WE BINTI WA KITANGA nashkuru sana aisee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.