Unaongea utumbo kabisa kama ndivyo hivyo lowasa kaharibu chadema wewe inakuhusu nini mbona chama lenu la mafisadi wote mmeunda team ya kampeni tena eti ya matusi wewe suburi Oct 25 na majani yenu mtakoma na ndio maana mnatumia nguvu nyingi
Mtaweka propaganda zenu sana lakini watu wameshaaumua kufanya mabadiliko .Ohio ushindi Wa kishindo mwaka huu Hanna kitu cha namna hiyo sisi mbele kwa mbele na Huyo Huyo mnaye mnayemwita fisadi pipooooooooooozi!!!!!!!!!!!!!!
Nimekusoma Bwana tumbili ni afadhali mnazidi kutupa taarifa nzuri za hao mafisadi kwAni ccm wameshikwa na kiwewe maana wanaogopa kinoma huyu Masai akiingia hapo itakuwa balaa maana hao wanao msingizia kila siku watatoroka nchini usiku Wa manane
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.