Recent content by chibindu

  1. C

    Kwanini Traffic akikuandikia faini isilipwe TRA?

    Ikiwa hivyo itakuwa poa sana lakini kumbuka kuwa ndio rushwa itaongezeka kwa sabb watu watatafutiwa makosa mpaka wakome
  2. C

    CCM wakishinda nitafanya vifuatavyo

    Na huo ndio ukweli brother umeme na vema
  3. C

    CCM imehalalisha ukabila? Magufuli anahutubia kilugha

    Huko aliko kumejaa wasukuma hivyo asipoongea kilugha hawezi kueleweka
  4. C

    NCCR - Mageuzi Waongea na vyombo vya habari, Wamjibu M/Mwenyekti na K/Mkuu wake

    Mtashindana sanaaaaaa lakini ukawa iko pale pale
  5. C

    Regina Lowassa ashindwa kujizuia kwa mumewe, mahaba Live Mbele ya Umati

    Yes a world is not fair who told you that a world is fair!!!!
  6. C

    Hatimaye Lowassa abomoa hadhi ya CHADEMA

    Unaongea utumbo kabisa kama ndivyo hivyo lowasa kaharibu chadema wewe inakuhusu nini mbona chama lenu la mafisadi wote mmeunda team ya kampeni tena eti ya matusi wewe suburi Oct 25 na majani yenu mtakoma na ndio maana mnatumia nguvu nyingi
  7. C

    GE2015 Yaliyojiri Chato: Mkutano wa Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa

    Mwaka huu ni sidaaa tunataka fair ground uchaguzi Wa mwaka huu
  8. C

    Ufunguzi VPL: African sports vs Simba SC , Azam FC vs Prisons

    Jamani mkwakwani vipi leteni matokeo
  9. C

    VIDEO: Lowassa awataka Walutheri wampe Kura nyingi awe Rais wa kwanza Mlutheri

    Lowasa na sisi sisi na lowasa ndio mpango mzima Haya mseme vipi hambadilishi mawazo ya waliowengi viva Edo!!!
  10. C

    UKAWA ya Lowassa yapumulia mashine, BAVICHA wakosa hoja

    Mtaweka propaganda zenu sana lakini watu wameshaaumua kufanya mabadiliko .Ohio ushindi Wa kishindo mwaka huu Hanna kitu cha namna hiyo sisi mbele kwa mbele na Huyo Huyo mnaye mnayemwita fisadi pipooooooooooozi!!!!!!!!!!!!!!
  11. C

    KAFULILA AWALIPUA JK na WARIOBA

    Nimekusoma Bwana tumbili ni afadhali mnazidi kutupa taarifa nzuri za hao mafisadi kwAni ccm wameshikwa na kiwewe maana wanaogopa kinoma huyu Masai akiingia hapo itakuwa balaa maana hao wanao msingizia kila siku watatoroka nchini usiku Wa manane
  12. C

    Mgawanyo Rasmi wa Majimbo kwa vyama vinavyounda UKAWA

    Kweli ukawa mwaka huu ni wenu kazeni boot tuko nyuma yenu viva ukawa!!!!
Back
Top Bottom