Mifumo ya tehama iwepo kuanzia ngazi ya zahanati, inayounganisha ngazi zote za vituo vya huduma za afya nchi nzima, kurahisisha upatikaji wa taarifa za wagonjwa, pia wataalamu wa kuisimamia waajiriwe.
Kwenye umri hapo sijui wamewaza nini, jkt mtu mwenye shahada akijiunga na miaka 25, anatumikia jeshi kwa zaidi ya miaka miwili, bado anakaa uraiani mda mrefu, angalau wangesema miaka 30, lakini nayo pia hio kama hana mbanga kutoboa ni nadra..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.