Recent content by Cherishable

  1. C

    Mnatuchukua vijana kutulimisha JKT, Ajira zikitokea mnaajiri watoto wenu

    Na ajira zikitoka wanahitaji umri mdogo. wanakosa vigezo sababu ya kukaa sana mtaani
  2. C

    Hivi kuna sehemu Tanzania umeme huwa haukatiki?

    Sumbawanga ni nadra kukatika
  3. C

    Je, una Maoni/Ushauri kuhusu Jambo au Utaratibu unaotamani ubadilike katika kuboresha Sekta ya Afya Nchini?

    Mifumo ya tehama iwepo kuanzia ngazi ya zahanati, inayounganisha ngazi zote za vituo vya huduma za afya nchi nzima, kurahisisha upatikaji wa taarifa za wagonjwa, pia wataalamu wa kuisimamia waajiriwe.
  4. C

    JWTZ na Serikali waache kudanganya/Kuhadaa Vijana

    Kwenye umri hapo sijui wamewaza nini, jkt mtu mwenye shahada akijiunga na miaka 25, anatumikia jeshi kwa zaidi ya miaka miwili, bado anakaa uraiani mda mrefu, angalau wangesema miaka 30, lakini nayo pia hio kama hana mbanga kutoboa ni nadra..
  5. C

    Wizara ya mambo ya ndani iwaangalie graduates kwa jicho la huruma

    Waangaliwe na wawezeshwe, na swala la umri lizingatiwe, wengine ni 30+, kigezo cha umri kizingatiwe
Back
Top Bottom