Recent content by Cheology

  1. Cheology

    Sh. 500 ya Kenya inakaribia 10,000 ya Tanzania?

    Inatia hasira. Wana fedha kaeni mkijadiri iweje jero ya kiwe 10elf ya bongo. This is not right
  2. Cheology

    Watanzania hawawezi kuandika

    Kuna vitanzania vipo pale harvard kutwa kuchwa ni instragram kujianika. Ndio hawa hawa wapuuz. Yaani kitendo cha kuforce na kuingia pale wanajiona wajanja kumbe marimba tu
  3. Cheology

    Watanzania hawawezi kuandika

    Hata sijaendelea kusoma upuuz wake.
  4. Cheology

    PreGE2025 Wanaotajwa Urais 2025 na 2030. Twende na yupi?

    Nashangaa Makonda tu seven anafanya mabadiliko lukuki
  5. Cheology

    selina senya juma, namtafuta sana, nioneeni wandugu

    Sio wewe. Selina ni mpole sana
  6. Cheology

    selina senya juma, namtafuta sana, nioneeni wandugu

    Hata kama ni ndg zake nijue Alipo Alinielekezaga duka la mzee juma mwoka. Nilienda sikumpata.
  7. Cheology

    selina senya juma, namtafuta sana, nioneeni wandugu

    Nilibadilisha ID naombeni mwenye kumfaham anijuze Anaitwa selina senya Juma mwoka Mweusi si mrefu wala mfupi. Mpole na ana aibu hivi msaada wenu. Wazaz wake nadham mmoja alikuwa akifanya kazi mweka chuo cha wildlife Nisaidieni.
Back
Top Bottom