Recent content by Chemtrail

  1. Chemtrail

    Dawa ya kutozeeka yapatikana. Je, Tanzania tunaihitaji?

    Hivi tutapingana na Mungu mpaka lini.Wanadamu walipojenga mnara wa Babeli kwa nia ya kumfikia Mungu walisambaratishwa.Ikumbukwe kwamba kuzeeka ni mpango wa Mungu,na ni Mungu huyo huyo aliyesema kwamba miaka ya mwanadamu itakuwa 120 tu.Hili wanalotaka kufanya wanadamu ni jambo la hatari mno na...
  2. Chemtrail

    Rais Magufuli aamuru Ney wa Mitego aachiwe huru na wimbo wake upigwe vituo vyote redio na TV

    Inatia moyo.Criticism is healthy, we must tolerate it.
  3. Chemtrail

    Wabunge Kafumu na Kamata, wajiuzulu uongozi kamati ya Bunge ya Viwanda na Biashara

    Ni signal nzuri.May be others need to follow suit.
  4. Chemtrail

    Je, wajua Rais aweza kuteua yeyote hata darasa la saba?. Teuzi hizi hazihojiwi popote na yeyote!

    Mayalla vipi sasa?Hivi umeshindwa kabisa kuona kwamba a responsible President hata kama kikatiba anaruhusiwa kuteua kihiyo hateui kihiyo for the simple reason that he wants good output.Kinachoendelea sasa kwa Rais wetu kinaonyesha kwamba something is amiss.Kuna kitu hakipo sawa.
  5. Chemtrail

    Nyerere angekuwepo leo hii asingerudisha kadi ya CCM?

    Watanzania wala wabunge hawana ubavu wa kumtoa Rais madarakani.WaTz ni waoga mno.
  6. Chemtrail

    Zero in the paper translates Zero in the Brain.

    Broken English uliyotumia kwenye title ya bandiko lako imeni-put off kiasi kwamba nimeshindwa hata kulisoma!Ukimnyoshea mwenzio kidole,kumbuka kwamba vidole vinne vimekugeukia wewe mwenyewe.
  7. Chemtrail

    Elibariki Kingu: Kwa hili la RC wa Dar, naomba niwe wa kwanza kufukuzwa CCM

    Mimi sisubiri kufukuzwa,nimejiengua CCM.Siwezi kuendelea kuvumilia udhalilishaji huu Makonda anaofanyia chama.Lakini hasa what is so special with Makonda mpaka akingiwe kifua kiasi hicho?Sielewi.
  8. Chemtrail

    Rais Magufuli amkingia kifua Paul Makonda. Asema yeye ndie anapanga nani akae wapi!

    Unbelievable.CCM tumenajisika vya kutosha,sasa basi.Bye bye CCM.
  9. Chemtrail

    CCM lazima tujisahihishe, tumezidiwa mbinu

    Mkuu bandiko lako kwa kiasi fulani limedhalilisha wasomi wa TLS.Kusema kwamba wasomi wa TLS "wametekwa" na Lisu ni kuwakosea heshima,ni kuwashushia hadhi.Ume-imply kwamba wao hawawezi kufikiri vizuri,kwa hiyo Lisu ametumia ufahamu wake mkubwa ambao wao hawana kuwafanya wamchague. Kwa maana...
  10. Chemtrail

    Nape, Jeshi la polisi na JWTZ mna la kuongea kuhusu tukio la uvamizi Clouds Media Group

    Kama hili tukio ni kweli na JPM hatachukua hatua yeyote,ndoa yangu na Chama cha Mapinduzi itakuwa imevunjwa rasmi.Itakuwa ni unafiki kui-support CCM au Magufuli for that matter.
  11. Chemtrail

    Tanzania yakubali kuipatia Kenya madaktari 500 kusaidia upungufu wa Madaktari

    Sina objection na Tanzania kupeleka madaktari Kenya kama usalama utakuwepo,which is very doubtful.Worry yangu nyingine is their competence.Wengi wa graduates wetu Kingereza ni shida.Nakaa nawaza, itakuwaje?Halafu degree nazo wanapata kwa kuhonga waalimu by any means possible,iwe mvulana au...
  12. Chemtrail

    Tanzania yakubali kuipatia Kenya madaktari 500 kusaidia upungufu wa Madaktari

    Ni mapema mno kufurahi.Kama madaktari wenyewe ni wale wa kuhonga lecturers ili wapewe marks za bure tuta aibika.Msisahau kwamba ajira hizo hazitakuwa automatic,there is a qualifying examination.Na kwa jinsi graduates wetu wa siku hizi ninavyowajua,tutaaibika.
  13. Chemtrail

    Yusuph Manji awekwa chini ya ulinzi siku 20, aiomba mahakama iingilie kati

    Huyu jamaa ni tapeli sana ngoja wamshuhulikie.Amewatapeli wananchi eneo kubwa sana kule Gezaulole ambalo sasa ni pori wala haliendelezwi.Kaitapeli serikali kinu kikubwa sana cha kukobolea mpunga kule Dakawa Morogoro ambacho mpaka sasa ni white Elephant.Kawatapeli CCM eneo pale Lumumba na kujenga...
  14. Chemtrail

    Musukuma: Usalama waliniundia zengwe, nitaongea na watoto wangu kama Gwajima

    Msukuma anajitafutia shida,eti atakwenda kuongea na "watoto wake" ili iweje.Nadhani anapaswa kujitathmini asije akaishia kula maneno yake.Huyu kijana ana vituko sana,nadhani kuna haja ya kumdhibiti ili ajue kwamba ipo serikali iliyoko madarakani.Kuwa mbunge haimfanyi mtu afanye mambo...
  15. Chemtrail

    Magufuli wana hasira na wewe, mpe Makonda Unaibu Waziri Mkuu, anaweza

    Nimekubali mengi uliyoongea mkuu.Ila ukweli unabaki kwambaa na yeye sio msafi kwa kuwa alifoji vyeti na kutumia jina la mtu mwingine.Hili katika discussion yako yote hujaligusia kabisa ,sijui ni kwa makusudi au umepitiwa.Halafu pia hatumii hekima na busara katika maamuzi yake.Hili linamfanya awe...
Back
Top Bottom