Nikiwe anaendelea kusikiliza cm ya Rose(Mtumishi wa ndani wa Nikiwe aliyekua anamuwekea sumu ili awe anaweweseka kusudi Franki) iliyopigwa na Nina akimwambia asimtaje.
Nikiwe anampigia cm koth na kumwambia sio Ben aliyekua anamuwekea madawa ball ni Nina, ila anaenda kumkomesha. Koth...
Sio kweli Angie alidate na Dr ambae alikua black. Rajesh aliwah date na secretary ambae ni black, Dereck alikua black alikua anadate na Philippa. Na Rajesha atakuja kuwa na Khotha
Ilikimbia baaada ya Mshtakiwa namba moja katika kesi ya mauaji ya baba yake Ben kuwa Mama yake Ben, maaan yule Mzee alifia kwenye Basement ya nyumba aliyokua anakaaa na Mama Ben kabla hajamuoa Cherel. Kwa hy Ben na Kaka yake wakawatorosha.
HV MTU akidai chake ni dhambi!??? Maaan wasanii ni wazur Wa Lusaka hati miliki, inakuaje wanaibia wasanii wenzao, au hy hati miliki ni ya vijana tu wazee haiwahusu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.