Ila huyu mzee anavyo itaja katiba utadhani anaiheshimu vile!!
Kila nikimsikiliza huyu mzee, naona jinsi Kikwete alivyo kabidhi Nchi vibaya, kwa kulea makundi na yaliyosababisha Embe kudondoka kwenye mnazi. Mr. Kikwete hajaacha Legacy yeyote kwenye taifa. Nafasi pekee aliyokuwa nayo ni kuiachia...
Nimefwatilia hii press, nimeumia sana. Lakin inachochea ghadhabu kubwa moyoni mwangu. Mungu atuepushie mabaya ninayoyaona mbele yetu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ni uchochezi wa hali ya juu! Na unapaswa kukemewa.
Na kwambia Hii miaka 5 inapita bure kabisa....
Anaacha kuweka nguvu katika kuboresha maendeleo ya wananchi wake, badala yake anaweka nguvu kubwa kupambana na wanaomkosoa na kumpinga. Miaka hii miwili iliyopita ya utawala imeonyesha jinsi...
Binafsi sipendi kuona biashara hii ikisikika inafanyika Nchini, Ila najua Mheshimiwa Makonda hajawahi kufanikiwa katika mambo mengi ambayo ameyaanzisha. Sasa ninauhakika hii shughuli imeshamshinda. Strategy anazozitumia ni za hovyo kabisa.... na ninaiona aibu itakayo kuwa kwake siku chache...
Njaa ipo! Kujua hilo huitaji hata kuwa muhitimu wa Shule ya Msingi,
Mwezi uliopita nilienda kijijin kwetu nimekuta watu wanashindia maembe!! Chakula hakuna maji hakuna..
Hawa necta sijui wanatumia server gani.... yaani ipo slow sana na ndio maana wengi wetu hapa tunashindwa ku access matokeo. Sijui watu wa computer wanafanya nini kuhusu hili.... Yaani ni bure kabisa......!!!
Ni bora hata wangetumia tu Online server kuliko hii ya kwao....!!
Habari wakuu,
Kwa muda mrefu nilikuwa nimekuwa nikitafuta namna ya kuzipata SABC (South Africa) channels bure. Nilichokijua ni kwamba SABC zilikuwa zikipatikana Bure kupitia satellite ya Intelsat 20 Ku (Zamani Panamsat 7/10). Sasa nimegundua kwamba hazipatikani tena...
Naomba kujua naweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.