Yani hapo mpaka ui-root install exposed, then xposed imei changer. Ingekuwa ni mtk ungeroot tu halafu unatumia mobile uncle. Lakini hiyo mpaka utumie hiyo process hapo, na unatakiwa ujue unachofanya au utaifanya simu yako kopo(IYO NI WARNING USINILAUMU MIMI IKIWA KOPO) :P
Kuna tofauti Kati ya Mbps na MBps(B kubwa). Tubemate huwa inaonyesha Mbps. Kwahiyo Mbps 13 ni sawa na 1.6MBps
Mbps inamaanisha megabits per second.
MBps inamaanisha megabytes per second.
Sijui ni mimi tu au.? Kwasababu halotel nikiingia ndani tu network inashuka hadi bar 2 au inabaki lakini data inakataa kabisa kufunguka. Nimesha jaribu sehemu kama 3 mikoani lakini ni hivyo hivyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.