Recent content by cheep

  1. C

    HESLB yasisitiza watu wote watapata mikopo, Lot ya nne inakuja

    mkuu Chuo kitafanya usajili na kama umehama hicho Chuo jina lako halitosajiliwa pale hivyo hicho hicho Chuo kitapeleka majina loan bod na tcu ya ambao hakijawasaji hivyo tcu itatambua moja kwa moja Chuo ulicho hamia na hivyo kama ulipewa mkopo Chuo ambacho umetoka kitapeleka jina lako loan bod...
  2. C

    Tumekosa mkopo hadi Awamu ya 3

    Habar wana jf mm nimmoja wa wahanga waliokosa mkopo mwaka 2014/2015 &2015/2016 sina hamu ya kuishi tena Kwan mwaka Jana nilishindwa kuendelea na masomo nikasubili mwaka huu napenyewe nimekosa tena pamoja nakuwa na kuwa na sifa yakupewa mkopo ushauli Wako niwamuhimu sana kipind hiki kigumu kwangu
  3. C

    Kuna uwezekano wa HESLB kutoa lot ya nne au ndo mwisho?

    Hii sio haki hata kidogo mwaka Jana walinyima mkopo nika sitisha masomo na mwaka huu wameninyima mkopo m nimtanzania au msomalia sielew nifanyeje mungu wangu jaman nisaidien mawazo nahis Moyo wangu kufail mda wowote sina hamu ya kuishi tena
  4. C

    HESLB watoa awamu ya tatu ya mikopo 2015/16

    inakatisha tamaa sana had unajihisi ulivamia nchi we sio mtanzania jaman mala tatu zote wananinyima mkopo kwel hii sio hak hata kidigo na hawana la kusema mbele za mungu zaid ya hukumu
  5. C

    Rais Magufuli amsimamisha kazi Mkurugenzi Muhimbili

    uyu jamaa amekaa sana serikarin anawafahamu wahusika WA matatizo yote usishangae Ana black list ya watendaj wsbovu macho na masikio yetu vitusaidie
  6. C

    HESLB watoa awamu ya pili wanafunzi waliopata mkopo 2015/16

    SIO KWELI KWAMBA WANAFUNZ WOTE WAMEPEWA MKOPO IMETOLEWA KWA BAADHI NA MM NIKIWA MIONGON MWA WALIOKOSA MKOPO INANIUMA NIKIONA UNASEMA WOTE WAMEPEWA MKOPO kuwa na huhakika na unachokipost
  7. C

    Wakuu,heslb imeachia mikopo,kupitia "olas"

    mmmh!! 7500 yenyewe nikwa manati sembuse 8500
  8. C

    Hii imekaaje ya kuja kulipia daraja la Kigamboni?

    hapo kunasababu gan yakuwa na serikari isiyokuwa na manufaa kwa watu wake
  9. C

    Haya ni matumizi mabaya ya fedha za serikali!

    wengne barabaran na kamera/kitoch wakitafta ugar na jua Leo hii wamesahau hayo mateso saa nyingne tumien akili
Back
Top Bottom