Diwani wa kata ya Chuno Mtwara Mjini amekuwa kivutio kwa wakazi wa kata ya Chuno hasa alipotumia muda wake na mchango wake material na immaterial kuwasaidia wakazi wa mtaa wa majengo kuchimba mfereji kuepusha maji ya mafuriko inayoiandama mtaani hapo,baadhi ya Wananchi walisikika wakimsifu kwa...
Huyu dogo namfahamu,alisoma shule ya msingi Namalenga,wazee naona wamefanya busara!njoo uchukue jimbo ndugu zako tunakusubiri tumechoka na huyu mbabaishaji!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.