Recent content by Che Gwaya

  1. C

    Ni Nape Nnauye au Suleiman Methuu jimbo la Mtama 2015

    Mbona mnagombania jimbo mngali Dar..?cc tunaoishi huku hatuwajui..!
  2. C

    Diwani aibua matumaini mapya CCM Mtwara

    Diwani wa kata ya Chuno Mtwara Mjini amekuwa kivutio kwa wakazi wa kata ya Chuno hasa alipotumia muda wake na mchango wake material na immaterial kuwasaidia wakazi wa mtaa wa majengo kuchimba mfereji kuepusha maji ya mafuriko inayoiandama mtaani hapo,baadhi ya Wananchi walisikika wakimsifu kwa...
  3. C

    Habari ITV: Salma Kikwete anamnadi mwanawe kwenye kampeni

    Eti we VOICE OF MTWARA,hivi mbunge wenu kule ni nani?
  4. C

    Habari ITV: Salma Kikwete anamnadi mwanawe kwenye kampeni

    Eti we VOICE OF MTWARA,hivi mbunge wenu kule ni nani?
  5. C

    Katibu mkuu wa CCM Kinana na wa CHADEMA nani zaidi kimataifa?

    Wadau anyejua na cv zao basi!
  6. C

    Barnaba Bushiri kumkabili Jerome Bwanahausi jimbo la Lulindi 2015

    Huyu dogo namfahamu,alisoma shule ya msingi Namalenga,wazee naona wamefanya busara!njoo uchukue jimbo ndugu zako tunakusubiri tumechoka na huyu mbabaishaji!
Back
Top Bottom