Recent content by chaznewa

  1. C

    Mvua kubwa yanyesha usiku huu jijini Dar es salaam

    Huku kimara inanyesha ila si kubwa sana kwani hata pipa langu la maji bado halijajaa maji vizuri.
  2. C

    Tafiti: Matumizi ya condom yamepungua kwa kiasi kikubwa Tanzania

    Ukivaa koti wakati wa joto utatoka jasho na ukivaa condom mashine itasikia joto na mishipa inatutumka tu.
  3. C

    Msaada wa namna ya kufuta michoro mwilini bila kusababisha madhara (Tattoo)

    Tattoo zitafutika ndugu, pita njia ya mabibo kuelekea kigogo kuna matangazo kibao ya wafuta tattoo
  4. C

    Choo cha Stendi Moshi wanaiba Umeme

    Hapo kwenye hiyo picha sio wizi wa umeme ndugu umeme unaibiwa kwenye meter na sio hiyo fuse, hapo fuse imekufa walichifanya wamepiga direct yaani jumper ila madhara ni kwao kama kukitokea short.
  5. C

    75 asilimia hupokea chini ya 2mil kwa mwezi.

    Mimi sijaajiriwa wala sina mradi lakini mafuta naweka naenda kubangaiza na familia inakula na kodi ya nyumba nalipa ila vyeti viko sandukuni sijabahatika kuajiriwa wala kukopa nianze biashara legal
  6. C

    Abiria Wafanya uharibifu Treni Mpya (Delux)

    Kama uwanja mpya wa taifa wakizoea wataacha uharibifu
  7. C

    Hivi mbona Wanaume wa Kanda ya Ziwa hawakupigana na Wakoloni?

    Humble people can not protect their land but they alien with enemy.
  8. C

    Msaada Please: Nipo nje ya nchi

    Tobo bao, Tobo busu, Tobo dole, mseleleko, kidari, bong'oa, kijipikilisha, bunduki za visoda, kuwinda ndege, kusaka, kudandia Magari, kurusha mawe kwenye mapaa ya watu, kujambisha, shikamoo naomba dala, kuoga mvua, kukamata kumbikumbi, kupaisha vishada, Magari ya mbao, kulipua baruti, malani...
Back
Top Bottom