Recent content by chavalikungu

  1. C

    Lowassa: Elimu bure inawezekana Tanzania

    Hivi ni kweli unafikiria kwa akil zako zote na kumsemea rais wako vibaya...sikulaum ni elimu waliyokunyima ccm...na lengo la ccm tokea longtime ilikuwa ni kuandaa wajinga tz ili iwe rahis kuwaburuza...ona sasa tunabishana wenyewe ambao tunahitaji mabadiliko haya kutoka kwa rais wetu mtukufu sana...
  2. C

    Website nzuri kwa wanaotaka kujua mambo ya Computer na wale wanaopenda kusikiliza simulizi

    ndugu zangu wana jf... nawakaribisha sana katika webite yangu MWL CHAVA COMPUTER CLASS kwa wale wanaotaka kujua mambo mbalimbali yahusuyo computer na wale wapenizi wa simulizi mbalibali bofya hapo upate mambo.... karibu sana
  3. C

    Majanga UDSM:Zaidi ya wanafunzi 500 wamedisco katika mwaka wa masomo 2012/13

    someni wakubwa msije mkadhani chuo tunakwenda kuchukua degree hii ni udsm
  4. C

    Hatimaye yametimia walimu kucheka huu ndiyo waraka mpya.

    waache wawachezee watoto wa watanzania kwani sasa form five ataenda hata aliyepata division FIVE kama waraka huu utakuwa wa uongo
  5. C

    Mishahara ya walimu juu

    kama waraka huu upo acheni mbwembwe utatumika wakatiwake ukifika
  6. C

    Cwt kukata mishahara ya walimt

    Chama hiki ni cha mafisadi tupu, kwanza kwa nini mwalimu hajajaza fomu na anakatwa, je ni vigezo gani vinatumika ili mwalimu alazimishwe kujiunga kwenye chama fulani, mbona tanzania kuna chama cha kuzikana lakini si watanzania wote ni wanachama? mimi naona kama mwalimu hajajiunga asikatwe...
  7. C

    Kwa mara ya kwanza toka nimezaliwa nimebwagwa na mpenzi ninayempenda!

    haya mambo ni ya kawaida sana ndugu yangu, hawa wajamaa siku hizi hali ni mbaya sana, hata sisi nao tumebadilika sana ninachokushauri achana naye hayo ni mapenzi ya mungu mpaka amekubwaga kwani angeendelea na wewe na kukufanyia vituko ungelia pooooooooooooooooooooleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee...
Back
Top Bottom