Viongoz wa CHAUMMA Tupo mazikoni kwa wakala wetu aliyepigwa risasi Jana Usiku majira ya saa 6 usiku katika kituo cha kupiga kura skuli ya vitongoji Jimbo la wawi.
Wakala wetu wa CHAUMMA aliyeuawa anaitwa Muhammad khalfan Mjaka.
Maziko ni baada ya sala ya alasir Leo tarehe 27 /10/2020...
Tumefanya Kila jitihada kuhakikisha tunampata MKURUGENZI WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI Ndugu Mahera lakini Hapokei simu na Wala Ofisini kwake hakubali kuonana nasi.
Tunazidi kuamini Kuwa yeye ndio karatibu kutoa maelekezo kwa Wasimamizi wa Uchaguzi Ngazi ya Majimbo kutokuapisha Mawakala wa...
Tunapenda kuufahamisha UMMA kuwa wasimamizi wa uchaguzi katika maeneo yafuatayo wamegoma kuwaapisha mawakala wetu:-
1) Bariadi
2) Bunda
3) Sinyanga Mjini
4) Morogoro Mjini
5) Chemba
6) Alumeru
Pamoja na maeneo mengine mengi, Pia kwa upande wa Zanzibar (Chakechake) mawakala wetu wa CHAUMMA...
Tuchague Kukomesha kushindishwa Njaa watoto wetu Shule za Serikali.
Wagonjwa wanaolazwa Mahospitali ya Serikali wapate huduma ya Chakula kwa gharama ya Serikali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.