CHAUMMA Tanzania
Member
- Oct 1, 2020
- 7
- 22
Tumefanya Kila jitihada kuhakikisha tunampata MKURUGENZI WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI Ndugu Mahera lakini Hapokei simu na Wala Ofisini kwake hakubali kuonana nasi.
Tunazidi kuamini Kuwa yeye ndio karatibu kutoa maelekezo kwa Wasimamizi wa Uchaguzi Ngazi ya Majimbo kutokuapisha Mawakala wa CHAUMMA na hata kuondolewa wale waliokwisha kuapishwa. Huu ni Ushahidi mwingine.
HATUNA IMANI TENA na Ndugu Mahera kwa haya yanayoendelea.
Tunazidi kuamini Kuwa yeye ndio karatibu kutoa maelekezo kwa Wasimamizi wa Uchaguzi Ngazi ya Majimbo kutokuapisha Mawakala wa CHAUMMA na hata kuondolewa wale waliokwisha kuapishwa. Huu ni Ushahidi mwingine.
HATUNA IMANI TENA na Ndugu Mahera kwa haya yanayoendelea.