Recent content by Chatu wa Chatto

  1. C

    Jinsi nilivyookoa simba asiuwawe na wananchi

    Bwana mdogo mbona umevutiwa na kiki ya mwandiko mbovu hakuna kiki nyingine inayoweza kukupa jina humu jf tofauti na hii?
  2. C

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Inahusiana nini na point yangu kwani hata centre half akiwa kwny move ya kupeleka shambulizi hawezi kujikuta yupo nafasi yoyote ile so wij ni DM ila timu kama inashambulia na imemiliki mpira u can see there as an attacking midfielder na timu inaposhambuliwa anastik on his position kama defensive...
  3. C

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Kwa wapenzi wa vyenga wij mtamuona bonge la mido, wij anangangania mipira, anapoza mashumbilizi, forward wanaweza kujiposition vizuri ili wascore jamaa anaforce show off mpaka forward zinabanwa ndo anatoa Pasi na imekuwa ndo kawaida habadiliki msimu na msimu hapo kwa fabinho tumelamba joker muda...
  4. C

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Wij ni galasa ndio ila ktk magalasa tuliyonayo ana nafuu kidogo na ndio maana ana uhakika wa namba coz ni the best among magalasa tuliyonayo kama midfielder wote wakiwa fit klop namshauri atumie mfumo 4-2-3-1 kwa mid hizi keita milner/ox kama kuna gemu itamlazimu 4-3-3 mid apiki hawa keita, wij...
  5. C

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Sawa kwa pale liver ndo mido wategemewa ila hawa ukiwapeleka timu yeyote kubwa ulaya ni wachezaji Wa kusugua bench mwanzo mwisho
  6. C

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Hatufungwi sababu defense iko imara sijui mwenzangu mpira unautazama kwa macho gani pamoja na kuwa magalasa mengi still tuna mido wanaoficha madhaifu ya wenzao klop kakosa tu msimamo
  7. C

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Hatufungwi sababu defense iko imara sijui mwenzangu mpira unautazama kwa macho gani pamoja na kuwa magalasa mengi still tuna mido wanaoficha madhaifu ya wenzao klop kakosa tu msimamo
  8. C

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Siko mbali na wewe sana ila ukweli msimu uliopita pamoja na kuruhusu magoli mengi tulicheza vyema kuliko msimu kwa sasa hapo mido hatuna regular start up inayoeleweka inabadilika badilika kila siku na ndio chanzo kucheza mpira mbovu, sasa basi kwa mido hii isiyoeleweka mtoe Gomez weka lovren...
  9. C

    Wafanyabiashara Kahama na mazingira magumu ya kazi

    Kwani duka likiwa wazi bidhaa hazionekani?
  10. C

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Namhurumia klop ataonekana kocha Wa hovyo coz option ya mido alizonazo ndo hayo hayo magalasa mido wenye akili ndo hivo tena majeraha yamewapenda zaidi
  11. C

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Magalasa mengine ukiachilia mbali upande wa viungo ni moreno, lovren, matip,
  12. C

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Ukweli mchungu tunaotakiwa kuujua wanaliver hawa jamaa ni magalasa lallana, wijndrum, Henderson, fabinho, hapa hatuna middle kabisa wengine klop kawaleta na wengine kawakuta huwa wanabebwa tu na wachezaji wenzao!
  13. C

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Misimu yote tangu klop aje tumecheza vyema sana kuliko msimu huu sema tu tuna defense nzuri inatubeba ila mpra msimu huu tunacheza mpira Wa hovyo na tunashinda kwa bahati tu
  14. C

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Gemu tunashinda sawa ila kibahati nasibu sana gemu tuliyocheza vizuri ni ile ya Kwanza tu dhidi ya west ham kwa kweli pale kati klop ana magarasa mia 5
  15. C

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Timu hii haiwezi kubadilika labda dirisha Dogo tuongeze viungo wawili watatu Wa maana make pale viungo magarasa ni wengi sana aliowakuta na aliosajili klop mwenyewe tutaendelea kushinda kibahati bahati mwanzo mwisho
Back
Top Bottom