Recent content by Chasing Monsters

  1. Chasing Monsters

    JamiiForums Tanzania Kwa Great thinkers wa JamiiForums mlioko Ngara

    samahani ndugu, sitoweza kufanya hivyo.
  2. Chasing Monsters

    JamiiForums Tanzania Kwa Great thinkers wa JamiiForums mlioko Ngara

    Bado sijafanikiwa wakuu. Msaada wenu tafadhali!
  3. Chasing Monsters

    JamiiForums Tanzania Nataka kujua kuhusu wilaya ya Ngara mkoa wa Kagera

    Bado napambana wakuu, ila sijafanikiwa mpaka sasa. Kwa mlioko Ngara huku naombeni mnishike mkono!
  4. Chasing Monsters

    JamiiForums Tanzania Nataka kujua kuhusu wilaya ya Ngara mkoa wa Kagera

    shukrani ndugu, kuhusu bei za vyakula ni kweli kama ulivyosema.
  5. Chasing Monsters

    JamiiForums Tanzania Nataka kujua kuhusu wilaya ya Ngara mkoa wa Kagera

    Hapahapa mjini naona kuna watu wengi tu wenye muonekano wa kinyarwanda.
  6. Chasing Monsters

    JamiiForums Tanzania Kwa Great thinkers wa JamiiForums mlioko Ngara

    Kazi yoyote nitafanya. Chamsingi isiwe kazi inayohitaji ujuzi mwingi sana ambao ni lazima kuusomea. Naomba muongozo ndugu!
  7. Chasing Monsters

    JamiiForums Tanzania Kwa Great thinkers wa JamiiForums mlioko Ngara

    Dah ndugu swala la kuiba halijawahi kumuacha mtu salama. Mwisho wake daima unakuwaga mbaya.
  8. Chasing Monsters

    JamiiForums Tanzania Nataka kujua kuhusu wilaya ya Ngara mkoa wa Kagera

    Kazi yoyote halali nafanya, kazi za kutumia nguvu kiasi na za kutumia akili kiasi. Chamsingi zisiwe technical sana, zisiwe zile zinazohitaji ujuzi mwingi sana mpaka kusomea.
  9. Chasing Monsters

    JamiiForums Tanzania Kwa Great thinkers wa JamiiForums mlioko Ngara

    Habari za jioni wadau? Nina mengi ya kushare nanyi kuhusu safari yangu ya kutafuta maisha ndani ya mkoa wa Kagera niliyoianza mwezi wa nane mwaka huu 2022. Ila kwa ufupi naomba niseme tu kuwa safari yangu hii hatimae imenifikisha katika mji wa Ngara. Hivyo basi, kwa wanajamiiforums mlioko huku...
  10. Chasing Monsters

    JamiiForums Tanzania Nataka kujua kuhusu wilaya ya Ngara mkoa wa Kagera

    Shukran sana mkuu, hapo Benako nilikuepo juzi nikaenda hadi Rusvmo kisha nikaja Ngara mjini. Vipi, naweza pata kazi yoyote huko?
  11. Chasing Monsters

    JamiiForums Tanzania Nataka kujua kuhusu wilaya ya Ngara mkoa wa Kagera

    Baada ya kuzunguka huku na kule ndani ya mkoa wa Kagera, hatimaye nimefika Ngara wadau. Hali ya hewa ya hapa ndiyo balaa. Jua linawaka kidogo sana, mvua inanyesha muda mrefu sana na baridi ni kali kwelikweli. Wadau mlioko huku nipeni ramani za ujenzi wa taifa ili nami niuanze mwaka 2023 vizuri.
  12. Chasing Monsters

    JamiiForums Tanzania Nimefika Kagera (Muleba) kutafuta maisha kwa mara ya kwanza, naombeni msaada

    Asante sana kwa ushauri wako mkuu. Hakika ntaufanyia kazi. Kama utaweza kunipa connection kwa namna fulani itapendeza pia. Namshukuru Mungu mpaka sasa naendelea vizuri japokuwa ugumu wa upambanaji bado upo sana tu kwani bado nafanya vibarua vya kuungaunga ila angalau nimekuwa na uhakika wa kula.
  13. Chasing Monsters

    JamiiForums Tanzania Nimefika Kagera (Muleba) kutafuta maisha kwa mara ya kwanza, naombeni msaada

    Salama tena wakuu! Bado napambana hapa Bukoba mjini. Kwa siku mbili sasa nilikuwa nimepata kibarua cha kumsaidia mzee mmoja alikuwa anajenga banda la mabati maeneo zilipo ofisi za TANROAD na BUWASA. Malipo yalikuwa sh 5000 kwa siku. Namshukuru Mungu kwa 5000 hiyo kwani inatosha kabisa kwa...
  14. Chasing Monsters

    JamiiForums Tanzania Nimefika Kagera (Muleba) kutafuta maisha kwa mara ya kwanza, naombeni msaada

    Ni siku nyingine tena leo namshukuru Mungu nimeamka salama japo mfukoni sina chochote. Ningependa kuyafanyia kazi maoni ya wadau hapo juu ya kwenda Karagwe au Mtukula lakini kwa sasa sina hata nauli ya kunifikisha huko. Kwa wanabukoba naombeni tena mnipe kazi angalau niweze kupata nauli ya...
  15. Chasing Monsters

    JamiiForums Tanzania Nimefika Kagera (Muleba) kutafuta maisha kwa mara ya kwanza, naombeni msaada

    Naomba uniunganishe nae kama inawezekana
Back
Top Bottom