Vijijini nani anamudu kuku?
Kuku ni Chakula cha middle class mkuu, hao ndio wanaweza mudu kuku, we gine sisi ni nadara sana au mara moja moja sana.
Kuku wa nyama wao wana soko hasa Arusha, Zenji na Dar nahisi hio miji mitatu ndio soko kuu la Broiler.
Ukitoa hio miji mitatu hakuna sehemu...
Super Market huwa sehemu ya vyakula ndio Cash cow yao ya kuendeshea biashara, ndio sehemu wanayo patia pesa za kurun Duka zima. Bidhaa zingine zinazo bakia ni changamoto tu kama ilivyo mtaani.
Ndio Maana Super Market kubwa wanajitahidi sana wawe na fresh food muda wote na kwa wingi sana kwa...
Tunataraji kuwepo Nane nane Arusha na Spicies tofauti tofauti za miche ya matunda uanayoweza lima kibiashara ama kwa matumizi yako ya nyumbani yaani Home use.
Kama uko kanda hii ya kaskazini jongea hizo siku zikifika na jiopatie mbegu ama hata kushauriana tu pia kuna matunda ya kutest...
Habari humu?
Nataka kujua kama kuna mdau ama wadau wanao lima Magimbi na viazi vitamu kibiashara, naposema kibiashara namanisha kulima mashamba makubwa na pia kulima muda wote wa mwaka mzima.Hapa maana yake mtu anaweza toa tani 15+ kwa mwezi au hata zaidi ya hapo. Kama yupo basi ani pm ila uwe...
Kama huwezi simamia Biashara yako wewe mwenyewe achana na Biashara, vinginevyo habari kama hizi hazitaisha. Huyo mdada ana uchungu na mtaji wako? ana anajua hata malengo yako? Simamia mwemyewe biashara yako huna mda achana na biashara hadi utakapo pata mda.
KAUSHA DAMU/VICOBA ni tatizo kwa sababu hatuna financial education.
Huwa nasikiliza watu wanavyo ponda VICOBA nabakia kucheka kimoyomoyo tu, au nikisiki wanasiasa wanavyo laumu mikopo ya kausha damu nabakia kushangaa.
Yaani Wabongo tumehamisha magoli kulaumu VICOBA bila kujua huo mfumo hauko...
Humu uta rashiwa, sana, huku ukileta mawazo tofauti jiandae kuitwa kila aina ya majina, Forum ishaha haribika hii, binafisi nisha stafu kupost chochote humu. Watu wanataka Udaku tu, mpira , siasa na mapenzi, ukileta mada kama hizi hawapendi. Wewe waletee mada za mapenzi.
Silver land ndio wana export kwenda Kenya vifaranga wa Sasso, AKM Glitters kwani bado wanazalisha Kuroiler?
Kuku mfalamu ndio wapi hao, i aonekana hata breeds huzijui, unajua majina ya mtaani.
kuku walio kuwa wanaitwa Kuku mfalmu ni wale wekundu ambao Kenya waliitwa Kenbro na hawako sokoni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.