Recent content by CHASHA FARMING

  1. CHASHA FARMING

    Mama Dorothy Gwajima suala la ushoga hulioni? Mbona linazidi kushika kasi? Umenyamazishwa?

    Swala la kupambana na ushoga linawahusu sana wazazi, hao mashoga si wana wazazi? au wazazi wao walisha kufa?
  2. CHASHA FARMING

    Ni nani kawafundisha mabinti wa madukani kuiba? Tunakoelekea heri uweke kijana wa kiume kuliko binti, wamekuwa wajanja sana

    Kama huwezi simamia Biashara yako wewe mwenyewe achana na Biashara, vinginevyo habari kama hizi hazitaisha. Huyo mdada ana uchungu na mtaji wako? ana anajua hata malengo yako? Simamia mwemyewe biashara yako huna mda achana na biashara hadi utakapo pata mda.
  3. CHASHA FARMING

    VICOBA/KAUSHA DAMU shida ni watu hawana Financial education. Wanegekuwa nayo kusingekuwa na shida

    KAUSHA DAMU/VICOBA ni tatizo kwa sababu hatuna financial education. Huwa nasikiliza watu wanavyo ponda VICOBA nabakia kucheka kimoyomoyo tu, au nikisiki wanasiasa wanavyo laumu mikopo ya kausha damu nabakia kushangaa. Yaani Wabongo tumehamisha magoli kulaumu VICOBA bila kujua huo mfumo hauko...
  4. CHASHA FARMING

    Ukifuga hata ng'ombe mmoja tu wa maziwa, mwajiriwa hakufikii

    Forum isha kuwa ya kijinga sana haikuwa hivi miaka 8 nyuma. Binafisi nisha stafu kupost chochote humu.
  5. CHASHA FARMING

    Ukifuga hata ng'ombe mmoja tu wa maziwa, mwajiriwa hakufikii

    Humu uta rashiwa, sana, huku ukileta mawazo tofauti jiandae kuitwa kila aina ya majina, Forum ishaha haribika hii, binafisi nisha stafu kupost chochote humu. Watu wanataka Udaku tu, mpira , siasa na mapenzi, ukileta mada kama hizi hawapendi. Wewe waletee mada za mapenzi.
  6. CHASHA FARMING

    DOKEZO Ufugaji wa kuku ni changamoto sana.Yote haya tunayapata kwa sababu serikali haijali madawa mengi ni feki!

    Silver land ndio wana export kwenda Kenya vifaranga wa Sasso, AKM Glitters kwani bado wanazalisha Kuroiler? Kuku mfalamu ndio wapi hao, i aonekana hata breeds huzijui, unajua majina ya mtaani. kuku walio kuwa wanaitwa Kuku mfalmu ni wale wekundu ambao Kenya waliitwa Kenbro na hawako sokoni...
  7. CHASHA FARMING

    DOKEZO Ufugaji wa kuku ni changamoto sana.Yote haya tunayapata kwa sababu serikali haijali madawa mengi ni feki!

    Unanunua vifaranga vipi visivyo bora? mtaani? kama unanunua mtaani au kwa wahuni unailaumu vipi serikali?
  8. CHASHA FARMING

    DOKEZO Ufugaji wa kuku ni changamoto sana.Yote haya tunayapata kwa sababu serikali haijali madawa mengi ni feki!

    1. Unajua vaccine handling zake kuanzia dukani hadi nyumhani? 2.Utaratibu wa kuchanja unaujua? ikiwemo kuku wanao oases kuchanjwa na wanapaswa kuwa katika hali gani? 3.Swala la chanjo kwamba ni fake inategemea wewe unatumia chanjo zipi au dawa zipi? kuna brand nyingi za chanjo na pia brand...
  9. CHASHA FARMING

    Wakulima wa Kitanzania wanaweza shindana na hizi Foreign Stores/Masuper Market Ila Kabla ya hapo lazima tunondoe mentality za ujamaa Vichwani

    Super Market za local products/ ushirika. Kuna idea moja huwa naiwaza sana na inawezeka a ila shida kuu nchi imejaa watu wajinga ambao muda wote tunawaza negative tu, yaani hatuwazi wala kuhofia wageni wanao kuja kuchuma Tanzania, hapana tuna waza na kuhofia Wabongo wenzetu. Nchi hii ina...
  10. CHASHA FARMING

    Malengo yangu ni kuandaa miche 20,000 ya michungwa

    Uko wapi? binafisi naandaa Pixie kwa ajili ya kuoesha Muheza Tanga,
  11. CHASHA FARMING

    Nguruwe mmoja anaweza kukupa hadi zaidi ya TSh. Milioni 1 ndani ya muda huu tu!

    Watanzania tusha zoea biashara za kijamaa sana, Mfano ukiwaambia huku Arusha unakuta kilo ya nyama ng'ombe kuna sehemu kilo ni sh 35,000/ nazani mtaandamana. Njoo Nanenane Arusha mwezi huu uone bei za hao nguruwe
  12. CHASHA FARMING

    Nguruwe mmoja anaweza kukupa hadi zaidi ya TSh. Milioni 1 ndani ya muda huu tu!

    Wakipigwa unawasaidia kutafuta pesa? acha ujinga
  13. CHASHA FARMING

    Nguruwe mmoja anaweza kukupa hadi zaidi ya TSh. Milioni 1 ndani ya muda huu tu!

    Mkuu achana na wajinga na pia a cha kupost idea yoyote humu, humu kumejaa wajinga tupu, Hii forum kitambo ilikuwa na mijadala moto sana ukitoa forum ya siasa, ila siku hizi ni imevamiwa na wajinga hakuna kupingana kwa hoja wao wanaza ujinga tu
  14. CHASHA FARMING

    Nguruwe mmoja anaweza kukupa hadi zaidi ya TSh. Milioni 1 ndani ya muda huu tu!

    Mlitaka a present vipi? aseme nguruwe wa aina hio ukimfuga unakula hasara? mnataka negative story tu humu, Forum isha haribiwa na wapumbavu, kupingana kwa hoja hakupo sasa ni ujinga ujinga tu.
Back
Top Bottom