Nyie ni wapumbavu ambao mko humu kuharibu tu, yaani mtu akija na Idea yake au post yake ni lazima wachawi kama weww uje na post negative, ni lazima uje na coment negativ? Maana ya kusema watu wamehama kwenye Vannila na Chia seeds ni nani?
So kama watu wanalima Vannila au Chia seeds hawapaswi...
Swala sio yanalina, swala ni kwamba ni tunda chakula na pia kwa sababu ya Intergration, ni lazima watu walime, sasa shida ni kwamba Bongo ujinga mwingi sana,
Dragon ni Food crops, unaweza lima kwa ajili ya chakula ni sawa na kulima mapera, au machungwa na kadhalika, ni tunda ambalo liko tiyari kuliwa so ni Chakula.
Tanzania kuna intergration sana ya watu, kuna foregners wengi wanakuja wanaishi Tanzania hawa wana utamaduni wao wa vitu wanavyo...
Mmeaingia na nani? Kwani wote tunapaswa kulima matikitiki au Dragon? Forum imevamia sana hii ndio maana wengine tunaamua kukaa kimya. forum imejaa wapumbavu tupu.
Dunia inakuwa kijiji mkuu, wacha kukalili life, Dunia ina crops nyingi sana, na usipangie watu au mtu kitu cha kulima, nchi hii ni freee Market, ukiona wewe labda kitu fulani ndio una kipenda wewe fanya. Kwani Vannila sio zao? Vannila ni cash crop yes. sijui unataka nini hasa bado sijajua point...
Dragon Irigation ni mujimu kiasi hasa wakati wa maua, kama Dragon itatoa maua na kuwe na ukame basi ina abort yale mau yote.
Dragon yes unaweza anza hata na cuttings chache tu
Dragon fruits au Pitaya ni tunda lenye asili ya Mexco, kwa Mexco linaitwa pitaya na ndio liliko anzia, ila kwa Asia liliingia China na kule ndio kuitwa Dragon.
Dragon kuna varieties kama 3 zenye spicies zaidi ya 150
White
Red
Purple/Pink
Sasa katika hizo kuna spicies zaidi ya 150
Dragon...
Fimamcia eduction sio kukufanya uwe mjanja wala kukufanya usikope, mkuu uko nje ya maada elewa kwanza hivyo alie kuambia Financia education ni kukufanya usikope ni nani?
Financia education ni kujua sababu za kukopa na matumizi ta mkopo, na terms zingine.
Nchi nyingi wanafundisha haya masomo...
Financial education ziko kwenye ujamaa? Wazungu ni moja ya watu wenye kiwango cha juu cha financial education, unajibu vitu njie kabisa ya maada.Tatizo la Financual eduction liko third world countries huku, huko kwa mabepari wako full
Uko nje ya Maada kabisa,
Sijasema kwamba watu wasikope na kujua financia education si kwamba mtu asiende kukopa, kukopa kuko pale pale, ila unakopa ukijua unakopa nini. nimetokea.mifano walimu na watumishi wengine mtu anakopa hajui hata riba zina calculatiwa vipi, yeye ameambiwa tu arejeshe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.