Kama huwezi simamia Biashara yako wewe mwenyewe achana na Biashara, vinginevyo habari kama hizi hazitaisha. Huyo mdada ana uchungu na mtaji wako? ana anajua hata malengo yako? Simamia mwemyewe biashara yako huna mda achana na biashara hadi utakapo pata mda.
KAUSHA DAMU/VICOBA ni tatizo kwa sababu hatuna financial education.
Huwa nasikiliza watu wanavyo ponda VICOBA nabakia kucheka kimoyomoyo tu, au nikisiki wanasiasa wanavyo laumu mikopo ya kausha damu nabakia kushangaa.
Yaani Wabongo tumehamisha magoli kulaumu VICOBA bila kujua huo mfumo hauko...
Humu uta rashiwa, sana, huku ukileta mawazo tofauti jiandae kuitwa kila aina ya majina, Forum ishaha haribika hii, binafisi nisha stafu kupost chochote humu. Watu wanataka Udaku tu, mpira , siasa na mapenzi, ukileta mada kama hizi hawapendi. Wewe waletee mada za mapenzi.
Silver land ndio wana export kwenda Kenya vifaranga wa Sasso, AKM Glitters kwani bado wanazalisha Kuroiler?
Kuku mfalamu ndio wapi hao, i aonekana hata breeds huzijui, unajua majina ya mtaani.
kuku walio kuwa wanaitwa Kuku mfalmu ni wale wekundu ambao Kenya waliitwa Kenbro na hawako sokoni...
1. Unajua vaccine handling zake kuanzia dukani hadi nyumhani?
2.Utaratibu wa kuchanja unaujua? ikiwemo kuku wanao oases kuchanjwa na wanapaswa kuwa katika hali gani?
3.Swala la chanjo kwamba ni fake inategemea wewe unatumia chanjo zipi au dawa zipi? kuna brand nyingi za chanjo na pia brand...
Super Market za local products/ ushirika. Kuna idea moja huwa naiwaza sana na inawezeka a ila shida kuu nchi imejaa watu wajinga ambao muda wote tunawaza negative tu, yaani hatuwazi wala kuhofia wageni wanao kuja kuchuma Tanzania, hapana tuna waza na kuhofia Wabongo wenzetu.
Nchi hii ina...
Watanzania tusha zoea biashara za kijamaa sana, Mfano ukiwaambia huku Arusha unakuta kilo ya nyama ng'ombe kuna sehemu kilo ni sh 35,000/ nazani mtaandamana.
Njoo Nanenane Arusha mwezi huu uone bei za hao nguruwe
Mkuu achana na wajinga na pia a cha kupost idea yoyote humu, humu kumejaa wajinga tupu, Hii forum kitambo ilikuwa na mijadala moto sana ukitoa forum ya siasa, ila siku hizi ni imevamiwa na wajinga hakuna kupingana kwa hoja wao wanaza ujinga tu
Mlitaka a present vipi? aseme nguruwe wa aina hio ukimfuga unakula hasara? mnataka negative story tu humu, Forum isha haribiwa na wapumbavu, kupingana kwa hoja hakupo sasa ni ujinga ujinga tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.