Recent content by CHASHA FARMING

  1. CHASHA FARMING

    Naomba kujuzwa kuhusu kilimo cha Ekari moja ya Dragon

    Unaweza anza kidogokidogo sana ukawa unaenda una ongeza.
  2. CHASHA FARMING

    Naomba kujuzwa kuhusu kilimo cha Ekari moja ya Dragon

    Nyie ni wapumbavu ambao mko humu kuharibu tu, yaani mtu akija na Idea yake au post yake ni lazima wachawi kama weww uje na post negative, ni lazima uje na coment negativ? Maana ya kusema watu wamehama kwenye Vannila na Chia seeds ni nani? So kama watu wanalima Vannila au Chia seeds hawapaswi...
  3. CHASHA FARMING

    Naomba kujuzwa kuhusu kilimo cha Ekari moja ya Dragon

    Swala sio yanalina, swala ni kwamba ni tunda chakula na pia kwa sababu ya Intergration, ni lazima watu walime, sasa shida ni kwamba Bongo ujinga mwingi sana,
  4. CHASHA FARMING

    Naomba kujuzwa kuhusu kilimo cha Ekari moja ya Dragon

    Dragon ni Food crops, unaweza lima kwa ajili ya chakula ni sawa na kulima mapera, au machungwa na kadhalika, ni tunda ambalo liko tiyari kuliwa so ni Chakula. Tanzania kuna intergration sana ya watu, kuna foregners wengi wanakuja wanaishi Tanzania hawa wana utamaduni wao wa vitu wanavyo...
  5. CHASHA FARMING

    Naomba kujuzwa kuhusu kilimo cha Ekari moja ya Dragon

    Mmeaingia na nani? Kwani wote tunapaswa kulima matikitiki au Dragon? Forum imevamia sana hii ndio maana wengine tunaamua kukaa kimya. forum imejaa wapumbavu tupu.
  6. CHASHA FARMING

    Naomba kujuzwa kuhusu kilimo cha Ekari moja ya Dragon

    Dunia inakuwa kijiji mkuu, wacha kukalili life, Dunia ina crops nyingi sana, na usipangie watu au mtu kitu cha kulima, nchi hii ni freee Market, ukiona wewe labda kitu fulani ndio una kipenda wewe fanya. Kwani Vannila sio zao? Vannila ni cash crop yes. sijui unataka nini hasa bado sijajua point...
  7. CHASHA FARMING

    Naomba kujuzwa kuhusu kilimo cha Ekari moja ya Dragon

    Dragon Irigation ni mujimu kiasi hasa wakati wa maua, kama Dragon itatoa maua na kuwe na ukame basi ina abort yale mau yote. Dragon yes unaweza anza hata na cuttings chache tu
  8. CHASHA FARMING

    Naomba kujuzwa kuhusu kilimo cha Ekari moja ya Dragon

    Dragon fruits au Pitaya ni tunda lenye asili ya Mexco, kwa Mexco linaitwa pitaya na ndio liliko anzia, ila kwa Asia liliingia China na kule ndio kuitwa Dragon. Dragon kuna varieties kama 3 zenye spicies zaidi ya 150 White Red Purple/Pink Sasa katika hizo kuna spicies zaidi ya 150 Dragon...
  9. CHASHA FARMING

    Financial Education, hata Mabenki hawataki mteja aipate

    Finanancia eduction ni pana mno, na imebeba mambo mengi sana, hizi ni elimu za lazima kwa Wazungu huko
  10. CHASHA FARMING

    Financial Education, hata Mabenki hawataki mteja aipate

    Fimamcia eduction sio kukufanya uwe mjanja wala kukufanya usikope, mkuu uko nje ya maada elewa kwanza hivyo alie kuambia Financia education ni kukufanya usikope ni nani? Financia education ni kujua sababu za kukopa na matumizi ta mkopo, na terms zingine. Nchi nyingi wanafundisha haya masomo...
  11. CHASHA FARMING

    Financial Education, hata Mabenki hawataki mteja aipate

    Financial education ziko kwenye ujamaa? Wazungu ni moja ya watu wenye kiwango cha juu cha financial education, unajibu vitu njie kabisa ya maada.Tatizo la Financual eduction liko third world countries huku, huko kwa mabepari wako full
  12. CHASHA FARMING

    Financial Education, hata Mabenki hawataki mteja aipate

    Uko nje ya Maada kabisa, Sijasema kwamba watu wasikope na kujua financia education si kwamba mtu asiende kukopa, kukopa kuko pale pale, ila unakopa ukijua unakopa nini. nimetokea.mifano walimu na watumishi wengine mtu anakopa hajui hata riba zina calculatiwa vipi, yeye ameambiwa tu arejeshe...
  13. CHASHA FARMING

    Financial Education, hata Mabenki hawataki mteja aipate

    Financial Education must address Spiritual, Psychological, Emotional, and Technical aspects of Wealth Management
  14. CHASHA FARMING

    Financial Education, hata Mabenki hawataki mteja aipate

    Financial Literacy/Education must address Spiritual, Psychological, Emotional, and Technical aspects of Wealth Management
Back
Top Bottom