Recent content by CHASHA FARMING

  1. CHASHA FARMING

    JamiiForums Tanzania Wapi nitapata mbegu za MTIPITIPI (rosary pea/jequiry bean)?

    Unatoa bei gani kwa kilo?
  2. CHASHA FARMING

    JamiiForums Tanzania Kutokupata annual increment

    Hii ina uhusiano gani na Kilimo?
  3. CHASHA FARMING

    JamiiForums Tanzania KERO Halmashauri ya Hanang' hajiwalipa Wakulima na Wafugaji walioshiriki nane nane stahiki zao

    Hehee, next time nendeni kwenye maonyesho nyie kama nyie, acheni kutegemea kubebwa bebwa kupelekwa kwenye maionyesho, hamuwezi toboaa kwa staili hio
  4. CHASHA FARMING

    JamiiForums Tanzania Mfahamu Ng'ombe aina ya Girolando mvumilivu wa magonjwa na anayetoa maziwa mengi

    HAWA ng'omne hawana hizo siga wanao pewa, Kenya kuna mjadala nilion kuhusu hawa Ng'ombe. Na Tanga wapo pia kuna watu wanao
  5. CHASHA FARMING

    JamiiForums Tanzania Mfahamu Ng'ombe aina ya Girolando mvumilivu wa magonjwa na anayetoa maziwa mengi

    Hizo ni stories tu, Kenya wapo na hata Tanga wapo sijui kama mnajua hilo
  6. CHASHA FARMING

    JamiiForums Tanzania Mfahamu Ng'ombe aina ya Girolando mvumilivu wa magonjwa na anayetoa maziwa mengi

    Bado hafikii Fresian kwa maziwa,
  7. CHASHA FARMING

    JamiiForums Tanzania Kwenye Biashara ya Super Market hasa hizi Kubwa, Fruits, Vegitable na fresh food zingine ndio Cash cow yao

    Super Market huwa sehemu ya vyakula ndio Cash cow yao ya kuendeshea biashara, ndio sehemu wanayo patia pesa za kurun Duka zima. Bidhaa zingine zinazo bakia ni changamoto tu kama ilivyo mtaani. Ndio Maana Super Market kubwa wanajitahidi sana wawe na fresh food muda wote na kwa wingi sana kwa...
  8. CHASHA FARMING

    JamiiForums Tanzania Tutakuwa Nane nane Arusha na aina tofauti tofauti za spicies za matunda, ya Kibiashara ama kwa matumizi ya Nyumbani

    Tunataraji kuwepo Nane nane Arusha na Spicies tofauti tofauti za miche ya matunda uanayoweza lima kibiashara ama kwa matumizi yako ya nyumbani yaani Home use. Kama uko kanda hii ya kaskazini jongea hizo siku zikifika na jiopatie mbegu ama hata kushauriana tu pia kuna matunda ya kutest...
  9. CHASHA FARMING

    JamiiForums Tanzania Kuna anaye lima Magimbi na Viazi vitamu larger scale?

    Habari humu? Nataka kujua kama kuna mdau ama wadau wanao lima Magimbi na viazi vitamu kibiashara, naposema kibiashara namanisha kulima mashamba makubwa na pia kulima muda wote wa mwaka mzima.Hapa maana yake mtu anaweza toa tani 15+ kwa mwezi au hata zaidi ya hapo. Kama yupo basi ani pm ila uwe...
  10. CHASHA FARMING

    JamiiForums Tanzania Mama Dorothy Gwajima suala la ushoga hulioni? Mbona linazidi kushika kasi? Umenyamazishwa?

    Swala la kupambana na ushoga linawahusu sana wazazi, hao mashoga si wana wazazi? au wazazi wao walisha kufa?
  11. CHASHA FARMING

    JamiiForums Tanzania Ni nani kawafundisha mabinti wa madukani kuiba? Tunakoelekea heri uweke kijana wa kiume kuliko binti, wamekuwa wajanja sana

    Kama huwezi simamia Biashara yako wewe mwenyewe achana na Biashara, vinginevyo habari kama hizi hazitaisha. Huyo mdada ana uchungu na mtaji wako? ana anajua hata malengo yako? Simamia mwemyewe biashara yako huna mda achana na biashara hadi utakapo pata mda.
  12. CHASHA FARMING

    JamiiForums Tanzania VICOBA/KAUSHA DAMU shida ni watu hawana Financial education, wangekuwa nayo kusingekuwa na shida

    KAUSHA DAMU/VICOBA ni tatizo kwa sababu hatuna financial education. Huwa nasikiliza watu wanavyo ponda VICOBA nabakia kucheka kimoyomoyo tu, au nikisiki wanasiasa wanavyo laumu mikopo ya kausha damu nabakia kushangaa. Yaani Wabongo tumehamisha magoli kulaumu VICOBA bila kujua huo mfumo hauko...
  13. CHASHA FARMING

    JamiiForums Tanzania Ukifuga hata ng'ombe mmoja tu wa maziwa, mwajiriwa hakufikii

    Forum isha kuwa ya kijinga sana haikuwa hivi miaka 8 nyuma. Binafisi nisha stafu kupost chochote humu.
  14. CHASHA FARMING

    JamiiForums Tanzania Ukifuga hata ng'ombe mmoja tu wa maziwa, mwajiriwa hakufikii

    Humu uta rashiwa, sana, huku ukileta mawazo tofauti jiandae kuitwa kila aina ya majina, Forum ishaha haribika hii, binafisi nisha stafu kupost chochote humu. Watu wanataka Udaku tu, mpira , siasa na mapenzi, ukileta mada kama hizi hawapendi. Wewe waletee mada za mapenzi.
Back
Top Bottom