S
Shangilia tu kwani unakatazwa? Hata kama wewe ni msafi sana unaharibu usafi wako kutokana na matendo yako!, Ebu jiulize, unaposhangilia anayeumia hapo ni huyo aliyekufa au ni ndugu zake? Nafikiri jibu ni ndugu zake! Je, hao ndugu zake nao walikufanyaje?
Umemuelewa lakini mtoa mada? Kwa akili yako unafikiri ni kweli pale kuna shughuli ya Uranium? Kwani Rais akiitwa kwa jina lake anapungukiwa nini? Hata kama kuna maslahi mnayapata kwa Uchawa kuna ndugu zako wengi tu wanapata taabu kwa kukosa huduma mbalimbali za kijamii! Ubinafsi ni mbaya ndugu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.