Ye amekataza meli kuja kama meli zilikuwa zinakuja na hazina faida kwa nji kuna haja gani ya kuwa na meli nyingi ambazo hazina faida bira zisije tu na mambo yazidi kuwa magumu zaidi maana mlizoea fedha za bwelele
Hivi kwani Tanzania nzima yupo yeye tu aache kulalama wapo watu wengine wenye uwezo zaidi yake na huenda walikuwa hawapati nafasi kwa sababu ya kujuana kwingi mi nashauri atulie kimya tu sa akilalama efubi nani atamsaidia afanye mambo yake mengine
Kama ulivyo mnafiki wewe joshua nasari
Huyo unaemtaja kuwa hakuhojiwa nae ni mnafiki tu
Mbowe ni mnafiki
Zito ni mnafiki
Kapombe ni mnafiki
Tindu Lisu ni mnafiki
Mtakatiro wa CUF ni mnafiki
Wanadamu wote ni wanafiki tu
So what akishangiliwa inakusaidia nini wewe je inakuongezea kipato
Inapeleka watoto wako shule
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.