Pana hitajika juhudi za pamoja kuanzia Kwa wazazi wanafunzi na walimu kwa ujumla ili kuongeza ufaulu wa somo hilo, vilevile serikali kuwajengea mazingira wezeshi walimu na mtaala usibadilika badika mara kwa Mara.
Ninajiuliza swali hilo hapo juu kwani wizara ya elimu imesitisha ajira za wakufunzi? Kama imesitisha kwanini? je vyuo vya serikali walivyo vipendekeza kuto DIPLOMA IN EARLY CHILDHOOD EDUCATION vinawakufunzi wakutosha? wahusika kama mnampango wa kuwajengea watoto with stadi za kusoma,kuandika,na...
Nimasikitiko yangu kuona walimu wenzangu wa BEDECE UDSM ,mmewapa ajira walimu watano tu na kuacha zaidi ya 25.Waliobaki wanajiuliza ,mumezingatia vigezo gani kuwapa wachache na kuacha wengi bila ajira? au wao hawana haki ya kupewa ajira? Naomba wahusika mchukue hatu ilikuondoa utata. Nawasilisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.