Hana madhara ndani ya chama na kwann asiyaseme hayo b4.......wiz mtupu kikifka kpnd cha uchaguz ndo mnaanza kujisfisha kwa watanzania .......mi binafs inaniuma sana ......kwann haya yanatokea wakat huu ?????? Tumechoshwa na siasa za kilaghai bhan
Kijana amka hakuna atakaewz kubdlisha maisha yako .....si lowasa wala magufuli ...nakumbuka wakat ukuta .....watu mmegeuza siasa kama chakula ni kushnda unabishana bila kuwa na vgezo saisa ya tz ni mzigo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.