Recent content by Charlz mgonja

  1. Charlz mgonja

    Ndugu, jamaa na marafiki njooni tumtetee Makonda dhidi ya mapapa wauza unga wanaomzushia

    Makonda mm nimesoma nae chuo ushirika yeye alikuja kujiunga tukiwa mwaka wa pili BA of Arts in community economin development(CED) ambapo alipospond na sababu za kupospond ni kwamba ilikuwa adisco baada ya kufeli masomo mengi ndo pakachezwa mchezo akapospond matokeo yakawekwa sawa na kabla ya...
  2. Charlz mgonja

    Ndugu, jamaa na marafiki njooni tumtetee Makonda dhidi ya mapapa wauza unga wanaomzushia

    Kweli mchele mchele wanaanza lujitokeza, sikutegemea ngojera ila ingetakiwa uje na udhibitisho wa hivyo vyeti
  3. Charlz mgonja

    RC Gambo, RCO, ASP Arusha, Vodacom na mtaalam wa picha kutoa ushahidi kesi inayomkabili Lema

    Wewe ni kilaza sana huwezi muita mtu muhalifu kama hajahukumiwa,kila mwanadam ni mdhaifu so ungeacha mahakama idhibitishe uhalifuwake japo nazo zimekaliwa
  4. Charlz mgonja

    Nafukua kaburi la biashara ya Freeman Mbowe, Nini asili yake?

    Halijibiwi hadi tupate proof ya udaktari wa Maguu
  5. Charlz mgonja

    Nafukua kaburi la biashara ya Freeman Mbowe, Nini asili yake?

    Daah wewe ni maandazi ndo umetumwa kuja kuchafua kwa hoja hizo? Huongelei uzuzu wa baba yenu anayeulizwa kuwa amekula yeye anajibu kashiba sijui akiulizwa kuwa ananjaa au laa atajibu nini au ataendeleza lawama?
  6. Charlz mgonja

    Mliosema Rais kaandaliwa maswali mnajisikiaje?

    Upo sahihi kabisa ila ni wachache sana wenye uelewa huo wa kujua sio kila jibu ni jawabu na ndo maaana hata ukiangalia sio kila aliyefeli mitihani hakujibu maswali
  7. Charlz mgonja

    Mbowe: Naomba makamanda wenzetu muelewe hiki sio kipindi cha kawaida (Awamu ya tano)

    Sasa swala la kodi na kilichotokea vinaendanaje kama sio uzoba huo? Hit on point
  8. Charlz mgonja

    Urais 2015: Mtei amshukia Zitto

    Kwa maoni yangu nadhan zito anakosea na anapoelekea atayumbisha chama coz inaonekana ameshalewa sifa za watanzania wanao ongea bila kupiga kura. Ajipange
  9. Charlz mgonja

    JWTZ Professionals

    jipangeni sio mnataka kukimbilia jeshi sababu mtaa umekushinda jiangalie kama una interest pagumu humu mwenyewe nilisota
  10. Charlz mgonja

    Ajira za wabunge wa CCM Same kuota mbawa kabla ya 2015. Jionee matukio katika picha

    hapo sasa tutafika ila sasa nani wakusimamishwa?tume makin kumachagua m2 makin wakutupigania sis na mali zetu
  11. Charlz mgonja

    Kuna ushahidi wa kutosha kwamba waziri mkuu alibadilishiwa hotuba yake ya awali...

    Yeye mwenyewe aliwaahidi waandìshi wahabari kuwa ataongelea swala la mawari j3,na pia km ulisikiliza vizuri kwenye hoja ya kuahirisha bunge waliopinga lisiahirishwe ni wengi ìla spika alipotezea
  12. Charlz mgonja

    Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All? [Kuwahi au kuchelewa kumwaga]

    Mshauri awe anafanya mazoezi ili mishipa ikaze au mwambie aache punyeto coz nì moja ya effects za punyeto
  13. Charlz mgonja

    Hasira hazijatosha, haiwezekani JK adharau na sisi tukae kimya..!

    Watanzania wa leo sì watanzania wa A.s.p wala Tanu ni watanzania walioelimika na kujua haki zao,so pinda kama kalìfungia macho akifumbua atakuwa kwa lowasa. Ni bora ufe umesimama kuliko uishi ukiwa umepiga magoti
Back
Top Bottom