Nini nifanye niwe mfanya biashara mkubwa kama moo dewji, Bakhressa n.k, niwe na kiwanda kinachozalisha products zangu zenye brand yangu barani Afrika ambazo zitafanya vizuri sokoni, at the end niwe tajiri kupitia biashara?
Balehe mbaya sana, nikiwa 4m1 nilimpenda madam wangu siku moja nikamvizia akiwa peke yake staff nikaingia nikamwambia ukweli, alooo kwanza aliniwasha makofi huku akipiga kelele akisema " wewe mtoto nitakulaani" kesho yake iligongwa kengele ikaitwa bodi ya shule,Afisa elimu, walimu walikusanyika...
ikitokea umekutana na mwanamke akakuvutia kwa mara ya kwanza na ukamtazama directly machoni/usoni.
Basi tambua ubongo wa huyo mwanamke unaanza kukudescribe papo kwa hapo kama unafaa kuwa nae au hufai, na baadae huyo mwanamke hukaa na kukufikiria kisha atajipa jibu yeye mwenyewe kama ni YES au...
Hiyo ipo wazi alikuwa mtoto wa kimasikini tu asiye na mjomba waziri wala mbunge katika ukoo wake, lakini alifanikiwa kuwa waziri mpaka uraisi, tofauti na vijana wa leo wanaamini kama huna ndugu mwenye cheo huwezi kupata hizo nafasi.
Nakumbuka nilianza kwa kuning'nia juu ya paa la nyumba kisha kupush mwili wangu ups&down, then push ups 80 hadi 120 kila siku.
Nikawa nachelewa kuamka sababu mazoezi sikuyazoea hivyo nilikuwa nasikia uchovu sana na mgongo pamoja na mbavu ziliniuma sana.
Ilipo timia miezi 3 tangu kuanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.