Recent content by Charles Katale

  1. Charles Katale

    Kumekucha Dodomaaaa hatariii!

    M/kiti wao sasa.... majanga!
  2. Charles Katale

    JK katuonyesha kwamba ni muumini wa Serikali tatu lakini ataangushwa na wanaotaka serikali tatu

    Bado viongozi wa serikali hawajaona umuhimu wa marekebisho ya katiba Bali bado usanii mtupu.
  3. Charles Katale

    Kosa Watanganyika.

    Hotuba ya Raisi wetu Jakaya Kikwete nimeisikia na kumuelewa vizuri kabisa, hasa juu ya Muungano wetu na wazo letu juu ya serikali mbili au tatu. Kwa mawazo yake na chama chake, muundo wa serikali mbili ni bora zaidi kuliko serikali tatu. Kwa ushauri wake akasema ili kutatua kero za muungano ni...
  4. Charles Katale

    Viatu kwa kina dada.

    Onyesha sample tafadhari.
  5. Charles Katale

    Blackberry curve 2 (used 2months) for sale 160,000/=

    Poa Tutawasiliana kwa njia ya simu.
  6. Charles Katale

    Blackberry curve 2 (used 2months) for sale 160,000/=

    Nimeipenda. Nipo Kigoma niipataje?
  7. Charles Katale

    Wakristo bucha hii hapa

    Hii ndiyo sawa. Kila mtu ale nyama iliyochinjwa kwa ibada yake. Safi kabisa hapa hakuna vita.
  8. Charles Katale

    Waziri Nchimbi afukuzwa kwenye mazishi ya mchungaji wa aliyeuliwa kwenye vurugu za kidini

    Mkuu wazo lako ni jema. Lakini kimepitwa na wakati, kama tamko la CCM kuhusu mgogoro wa gesi ya Mtwara. CCM wanatoa tamko juzi baada ya watu kufa na kuharibiwa mali zao. Wazo zuri ni Serikali kutoa RUKSA kama uamuzi wa Mh. Rais mstafu Mwinyi.
Back
Top Bottom