Wanajamvi nnaomba kufahamishwa/ kuelimishwa vyema juu ya mwanaume na mwanamke wanapokuwa wameweka nadhiri ya damu katika uchumba au kipindi cha mahusiano ni nini kinachoweza kutokea baina yao wanapoingia tofauti na kuachana.nafahamu nyote ni wema kila umoja atatumia busara na hekima katika hili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.