Recent content by chariti

  1. chariti

    JamiiForums Tanzania Mwanza: Apigwa risasi baada ya kujaribu kupora bank.

    Hiyo ndo bongo nyoko
  2. chariti

    JamiiForums Tanzania Mwanza: Apigwa risasi baada ya kujaribu kupora bank.

    Daah bongo nyoko
  3. chariti

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Polisi wamempiga daktari mwenzetu mpaka kalazwa ICU

    Na Mimi Leo ni dokita kwakweli cjapenda kipigo cha dokita mwenzetu sisi ni binadamu wenzenu daa Tanzania yangu jino kwa jino
  4. chariti

    JamiiForums Tanzania KERO Watumishi wengi wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi hatupati stahiki zetu, pia kuna mazingira ya upendeleo

    Tuendelee kula Kwa urefu WA kamba zetu au watanzania tuchape kazi tuache kulalamika
  5. chariti

    JamiiForums Tanzania MTANZANIA kumuoa mtoto wa rais Ruto wa Kenya

    Dah hongera zake sana sio kitu kidogo kupata Fursa ikulu kongole isaya
  6. chariti

    JamiiForums Tanzania Benki ya NMB imenitumia Shilingi 10,024,061,002,406 kimakosa

    Ungetoa trillion 1 kwenye magunia na sandarusi umetuhuzunisha sana ndugu zako miaka 35 jela pesa ungerudi ungeikuta Sasa ulichofanya tutakufa masikini nyau wewe
  7. chariti

    JamiiForums Tanzania Botswana na Namibia ni nchi tajiri zaidi barai Afrika, msikate tamaa tunaweza!

    Hakika tumelogwa
  8. chariti

    JamiiForums Tanzania Mwabukusi: Mbeya Sio Jiji ni Mkusanyiko wa Vijiji Vikubwa. Haina Miundombinu na Mzunguko wa Pesa ni Mdogo

    Kaka mwabukusi ametisha haiwezekani nimetafuta pesa Kwa tabu sana na sina sehemu Kwa kwenda kuzitumia nikiwa mbeya pamepoa yaani ndugu zetu wameshindwa kabisa kutunga sera wezeshi hata wasiopotoa hela watengeneze mifumo mbeya ikue ichangamke
  9. chariti

    JamiiForums Tanzania Mnyika: CHADEMA Haijafanya Mazungumzo na Serikali, Yapinga Kauli ya Rais Samia Lissu kutafakari

    ngoja niendelee kukimbizana na ngedere hapa shambani kwangu, ACHA porojo kaka paskali
  10. chariti

    JamiiForums Tanzania Mambo yamebadilika; Tunaishi kwenye dunia ambayo watu walio tayari kutoa msaada ni wengi kuliko wanaohitaji kusaidiwa

    Bila shaka hata nikifika jalalani kwako nitatoka kama nimetoka shopping fanikisha muamala tajiri
  11. chariti

    JamiiForums Tanzania Mambo yamebadilika; Tunaishi kwenye dunia ambayo watu walio tayari kutoa msaada ni wengi kuliko wanaohitaji kusaidiwa

    Duuuuuuuuu tuma hata 200000 mwanao nikachukue cheti veta kuthibitisha maneno yako
  12. chariti

    JamiiForums Tanzania Nyumba inauzwa Mbezi -Makabe kwa Paulo

    Ohoo mwenye nyumba anauza nyumba na dalali anauza kiwanja ahaa sawa
  13. chariti

    JamiiForums Tanzania Nyumba inauzwa, bei Tsh. Milioni 800, ipo Kigamboni Kisota

    Ok ok mia Tisa millions itapendeza
  14. chariti

    JamiiForums Tanzania Nilitoa kafara miaka mitano kujifunza Forex

    Kongole mafanikio popote
Back
Top Bottom