ivi mda nilopoteza kujiandikisha si ningekua napiga bia zangu yani nawapisha wajawazito wazee kujiandikisha kumbe ccm wananiona msukule tu, naiomba mizimu ya wazalendo wa Tanganyika iiangushe ccm yote kuanzia leo.
Kumkaribisha Mh Rais sio kosa ni upendo kwa mwana mpotevu yeyote Biblia luka 15, udhaifu na woga wa mtumishi Malasusa kufanya kazi ya Mungu kwa nafasi yake alitakiwa apige counter attack pale pale kukemea wazi wazi kama kweli ni mtumishi wa Mungu.
punguza spidi kasome malengo ya vita, malengo yangekua kuangamiza itatuchukua sisi kama warusi dakika 22 kuifuta ukraine na uachane na maswala yako yakuanzisha chuo .
nimefedheheka sana simba wana uwezo mdogo game ya kwanza nilidhani najidanganya Daslam Derby ijayo simba analiwa tena na yanga niko pale siti ya mbele kibanda umiza.
toka ccm wapigwe 3 bila na mfugaji wa monduli wamepagawa yani wewe uibe kura usizisindikize na mtutu kura za wizi na haushindi njia pekee ni kumtumia jaji kikombe pale tume huru kuvuruga uchaguzi, kwakweli ccm mnatuonea watanzania kweli mimi na MBA yangu niende veta hapana kwakweli nitamuua...
ccm ndio imewapa mamlaka bunge la ulaya tatizo ni ccm miaka yote 60 ya uhuru wanatembeza bakuli kuomba misaada huko ulaya ndio maana watu hawa wanaona wana haki ya kutufanyia kikao sisi watanzania tusioweza jitegemea, wakupe msaada utumie kutekea raia na kulipa wasanii wasikujadili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.