Recent content by chariti

  1. chariti

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole: CCM wanakwenda kwenye Uchaguzi sababu wana uhakika kushinda kwakuwa kuna mifumo inawabeba

    ivi mda nilopoteza kujiandikisha si ningekua napiga bia zangu yani nawapisha wajawazito wazee kujiandikisha kumbe ccm wananiona msukule tu, naiomba mizimu ya wazalendo wa Tanganyika iiangushe ccm yote kuanzia leo.
  2. chariti

    JamiiForums Tanzania Malasusa Umemkosea Mungu, tubu!

    Kumkaribisha Mh Rais sio kosa ni upendo kwa mwana mpotevu yeyote Biblia luka 15, udhaifu na woga wa mtumishi Malasusa kufanya kazi ya Mungu kwa nafasi yake alitakiwa apige counter attack pale pale kukemea wazi wazi kama kweli ni mtumishi wa Mungu.
  3. chariti

    JamiiForums Tanzania Silaha mpya ya kutisha inayobadilisha vita nchini Ukraine

    punguza spidi kasome malengo ya vita, malengo yangekua kuangamiza itatuchukua sisi kama warusi dakika 22 kuifuta ukraine na uachane na maswala yako yakuanzisha chuo .
  4. chariti

    JamiiForums Tanzania Silaha mpya ya kutisha inayobadilisha vita nchini Ukraine

    hata wale wanaotaka kupigwa mara ya pili wanakaribishwa
  5. chariti

    JamiiForums Tanzania Tazama list ya wabunge wa Kenya na elimu zao, utaona aibu kuwa Mtanzania

    acha kufoka toa vyeti vya mbunge wako
  6. chariti

    JamiiForums Tanzania Tazama list ya wabunge wa Kenya na elimu zao, utaona aibu kuwa Mtanzania

    acha kufoka kwa spidi, ni kenya vs tanzania
  7. chariti

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa CAF wasimiliki timu zinazoshiriki mashindano wanayosimamia

    acha kuingiliana biashara za watu wewe fanya mambo yako
  8. chariti

    JamiiForums Tanzania Gwajima na Heche mmechelewa, Watanzania ndio waamuzi kwa sasa

    sauti haitoshi milio ni mingi ongeza sauti
  9. chariti

    JamiiForums Tanzania Dear Gwajima, soma Danieli 5:25. Mene, mene, tekeli, na peresi. Ubunge wako huwezi kuulinda kwa kuzitisha mamlaka

    ngoja niongeze sauti milio imeanza kutoka siti ya mbele hapa
  10. chariti

    JamiiForums Tanzania Karma ni Karma huwa inawatafuna sana wanafiki, refa aliyeinyima Yanga goli halali kule Afrika Kusini Simba wakakenua leo hii ndio analaumiwa

    nimefedheheka sana simba wana uwezo mdogo game ya kwanza nilidhani najidanganya Daslam Derby ijayo simba analiwa tena na yanga niko pale siti ya mbele kibanda umiza.
  11. chariti

    JamiiForums Tanzania Sijawahi kushuhudia Tanzania ya aina hii

    toka ccm wapigwe 3 bila na mfugaji wa monduli wamepagawa yani wewe uibe kura usizisindikize na mtutu kura za wizi na haushindi njia pekee ni kumtumia jaji kikombe pale tume huru kuvuruga uchaguzi, kwakweli ccm mnatuonea watanzania kweli mimi na MBA yangu niende veta hapana kwakweli nitamuua...
  12. chariti

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mtia nia Urais aondoka CHADEMA, amtuhumu Lissu kwa kumshambulia Rais Samia

    mapunda kama mapunda uraisi wa kuserereleka hadi magogoni bila kusukumwa hata na mgambo unataka tukuite nguchiro utufunge tabia za nguchiro kabisa
  13. chariti

    JamiiForums Tanzania Maswali 8 ya kuwauliza Bunge la Ulaya

    ccm ndio imewapa mamlaka bunge la ulaya tatizo ni ccm miaka yote 60 ya uhuru wanatembeza bakuli kuomba misaada huko ulaya ndio maana watu hawa wanaona wana haki ya kutufanyia kikao sisi watanzania tusioweza jitegemea, wakupe msaada utumie kutekea raia na kulipa wasanii wasikujadili
Back
Top Bottom