ivi mda nilopoteza kujiandikisha si ningekua napiga bia zangu yani nawapisha wajawazito wazee kujiandikisha kumbe ccm wananiona msukule tu, naiomba mizimu ya wazalendo wa Tanganyika iiangushe ccm yote kuanzia leo.
Kumkaribisha Mh Rais sio kosa ni upendo kwa mwana mpotevu yeyote Biblia luka 15, udhaifu na woga wa mtumishi Malasusa kufanya kazi ya Mungu kwa nafasi yake alitakiwa apige counter attack pale pale kukemea wazi wazi kama kweli ni mtumishi wa Mungu.
punguza spidi kasome malengo ya vita, malengo yangekua kuangamiza itatuchukua sisi kama warusi dakika 22 kuifuta ukraine na uachane na maswala yako yakuanzisha chuo .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.