Recent content by chardboy77

  1. chardboy77

    Changamoto za bima ya afya ya NHIF

    Kutibiwa kwa cash ni mfumo wa kizamani. Zipo bima za kimataifa ambazo hazina changamoto kabisa.
  2. chardboy77

    Ali Kessy: Roma Mkatoliki anamtukana Rais halafu anaachiwa? Utawala gani huu?

    Sijui kama anamjua anaemwongelea. Wapenzi wa muziki wanajua ROMA hajatoa wimbo unaomhusu Rais Magufuli. Mtu aliyempiga Rais kwenye mashairi yake ni Ney wa Mitego na alikamatwa ila serikali yenyewe ikaamuru aachiwe.
  3. chardboy77

    Ina maana hata kukiss hujui?

    Unakiss na mtu kumbe ametunza nusu lita yake ya mate mdomoni anakumiminia yote.
  4. chardboy77

    Naomba kujulishwa kwa sababu za kitaalam; Ipi nyumba bora kati ya tofali za kuchoma na cement?

    kama unajenga nyumba mahali udongo unapatikana wala usihangaike na tofali za cement. Tofali za kuchoma ni nzuri zaidi ila tu udongo uwe mzuri usiwe na mchanga mwingi na ziive vizuri.
  5. chardboy77

    NAITAFUTA CHIVALAVALA YA VIJANA JAZZ

    Wakuu nautafuta sana wimbo wa vijana jazz unaitwa chivalavala. naomba kama kuna mtu anao tusaidiane kupitia 0766399341. Nitachangia hela ya bundle.
  6. chardboy77

    Nape: Chombo cha Habari kitakachoripoti habari ya kichochezi kitahesabiwa kuhusika na uchochezi

    Uhuru wa vyombo vya habari. Hivi mtu akibakwa kwa mfano, vyombo vya habari vikiripoti mtu amebakwa vinakua vimeshiriki ubakaji?
  7. chardboy77

    GEITA: Waziri Mwigulu aweka gwaride la utambuzi, amkamata Mchina aliyemtesa Mtanzania

    gerezani? huyo kijana yupo gerezani kwa sababu gani?
  8. chardboy77

    Zitto Kabwe: Rais Magufuli alienda Rwanda kujifunza jinsi ya kubana Vyama vya Upinzani

    . >>>Juzi usiku siku ya jumamosi, watu wetu wa usalama wa chama walinijulisha kwamba Jeshi la Polisi wananitafuta, wakaenda nyumbani kwangu na magari manne kunikamata bila kufuata utaratibu. >>>Jumanne iliyopita Kamishna Wambura alinipigia kuniomba nifike polisi (Lakini) Hii ya Jumaamosi...
  9. chardboy77

    BoT yapanga kuondoa noti zote za mia tano ndani ya miezi 4 ijayo

    Mkuu wapi huko? me nna acces ya kuzipata hata ndoo nzima.
  10. chardboy77

    TANZIA Aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar, Willson Kabwe afariki dunia

    Asante kwa taarifa Mkuu, ila huyu mtu hakutumbuliwa mwezi Mei, kumbukumbu zinaniambia alitumbuliwa mwezi April.
  11. chardboy77

    Tanzia: Askari Trafiki Namba F1839 Ali Kinyogori, auawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulika

    Hii habari ni kubwa lakini sijaona kauli ya kamanda wa polisi mpaka sasa.
  12. chardboy77

    Naomba mwenye wimbo unaitwa chivalavala anisaidie

    nimeusaka sana huu wimbo baomba msaada tafadhali.
  13. chardboy77

    Nisaidiwe Mpende Akupendae ya TOT Plus

    wakuu kwa mwenye nao huu wimbo msaada plz. whatsapp namba 0766399341
  14. chardboy77

    Ukakasi kwenye neno

    mkuu mswaki napiga kila siku mkuu, na tatizo lipo pale pale
Back
Top Bottom