Mnasitisha huduma ya wategemezi au wanachama kwa vigezo mbalimbali:
1. Mwanachama /mtegemezi aliyeondolewa kwanini hapewi kibali cha matibabu wakati anarekebisha vigezo, wakati huo mmoja kati ya hao anapougua unalazimika kutumia gharama nyingine wakati makato yake yanaendelea.
2. Kwanini hakuna mfumo wa kupunguza makato, baada ya mtegemezi/mwanachama kuondolewa kwenye mfumo wa bima?
1. Mwanachama /mtegemezi aliyeondolewa kwanini hapewi kibali cha matibabu wakati anarekebisha vigezo, wakati huo mmoja kati ya hao anapougua unalazimika kutumia gharama nyingine wakati makato yake yanaendelea.
2. Kwanini hakuna mfumo wa kupunguza makato, baada ya mtegemezi/mwanachama kuondolewa kwenye mfumo wa bima?