Recent content by chapanyamu

  1. C

    Yaliyojiri Mkutano wa CCM na waandishi wa habari Peacock Hotel

    Ccm is a dangerous disease once ua infected, u must die.
  2. C

    Kutoka Bahari Beach Hotel: Yaliyojiri katika Mapokezi ya Edward Lowassa kujiunga CHADEMA

    Wewe ambaye hujamuona hapo ni Dr slaa tu peke yake wengine wote umewaona? Na ilikuwa ni lzm umuone? Acha ujuha.
  3. C

    Kubenea alipa milioni 4 kwa kumchafua Waziri Mkuu Mizengo Pinda

    Nyie watu wa buku7 naona mnajitekenya wenyewe.. peleken mahakamani dhambi zenu zote zilizowahi kuanikwa na kubenea zikiwemo ushahidi wa utekaji na utesaji wa binadamu watanzania wenzenu ili pia mlipwe.. mbona hizo hampeleki mkaishia kufungia gazeti tu??? Mliogopa nin???
  4. C

    Ndugu yangu Zitto Kabwe, hasira zako kwa CHADEMA zisisababishe kutuvurugia nchi yetu TANZANIA.

    Na hizo ndui zake za hadi matakoni namuonea huruma akina mzee wasira watakapoanza kumla mgongo.
  5. C

    Taarifa ya Zitto Kabwe kuhusu Gazeti la Taifa Imara

    Zzk ni hatari sana kwa mustakabali wa hili taifa. Sema mnabisha tu na kuleta ushabiki usio na maana kwasababu ya njaa, umbumbumbu na ukilaza wenu.
  6. C

    Taarifa ya Zitto Kabwe kuhusu Gazeti la Taifa Imara

    Kibaraka siku zote huwa hakubali. Hata alipogundulika kuwa ni mradi wa ccm anapatiwa millions of money kwa ajili ya kukihujumu cdm, alikana hiv hiv kama anavyokana umbea aliompelekea jk kuhusu mengi. Mojawapo ya sifa za mtu kibaraka ni muongo, mzandiki, mmbeya. This guy is so stupid.
  7. C

    Ndugu yangu Zitto Kabwe, hasira zako kwa CHADEMA zisisababishe kutuvurugia nchi yetu TANZANIA.

    Kajinga sana hako kajamaa. Eti kanajinasibu kuwa ni kazelendo, uzalendo wapi wkt akiwa mwenyekiti wa PAC kahongwa sana ili kukwamisha ukweli kujulikana ktk tuhuma zilizohusu vigogo kwenye kampuni mbalimbali. Nakamilisha kukusanya details zenye ushahidi wa kila namna huyu jamaa alivyo mhujumu...
  8. C

    CHADEMA yapata pigo la kwanza kwenye mikutano, mikutano yake yadoda

    Hiyo mikutano ya ACT kuwa na Watu wengi isikupe mzuka mkuu. ACT wanatumia strategies zile zile wanazotumia mabwana zao za kusomba Watu kwenye malori. Thus, mabibi+mabwana ni kitu kile kile. Nitakushangaa kama utatofautisha ACT na CCM.
  9. C

    Ndugu yangu Zitto Kabwe, hasira zako kwa CHADEMA zisisababishe kutuvurugia nchi yetu TANZANIA.

    Dhambi ya usaliti inamtafuna huyo kibaraka zzk. Atalost sana hadi ataliwa mgongo na akina mzee wasira. Amuulize tambwe hiza wanachomfanyia hao wazee.
  10. C

    Ndugu yangu Zitto Kabwe, hasira zako kwa CHADEMA zisisababishe kutuvurugia nchi yetu TANZANIA.

    Dhambi ya usaliti inamtafuna huyo kibaraka zzk ndio maana analapalapa tu, na hajui anachokifanya. Ataliwa hadi mgongo na akina mzee wasira safari hii.
  11. C

    Mkutano mkubwa wa CHADEMA kutikisa jiji la Mbeya

    chadema kiboko yao.. sijui sahv akina mchemba wanakuja na mkakati gan tena baada ya propaganda zao za ukanda, ukabila,udini, ugaidi, kutumia wasaliti kama akina zitto kabwe kushidwa.. mtaumiza vichwa sana. adui yenu ni watz wenyewe mnaposhindwa kuwatatulia kero zao na siyo chadema.. chadema wao...
  12. C

    Yaliyojiri Uchaguzi mkuu wa chama cha NCCR-Mageuzi, Mbowe, Lipumba, Mangula, Slaa washiriki

    lakini wkt huo nyie nccr mjue chama kikuu cha upinzani mwaka 2015 ni ccm. nyie mtaendelea kuwa chama cha pili cha upinzani.
  13. C

    CHADEMA ni madikteta, Zitto sio mkaguzi wa mahesabu ya serikali, mmemvua uongozi!

    kaka nchemba mikakati yako ya kusagizia watu ugaidi imeishia wapi au unaandaa mkanda mwingine? chadema ni sawa na chuma cha pua, intelligensia yao ni tamu sana kama ilivyo nyuma ya mgongo wako. ilibaini mkakarti wako wa kusakizia watu ugaidi na hiv sasa imebaini mkakati wa huyo mwenzenu zitto...
  14. C

    Taarifa za Zitto na Dr. Kitila kwa Umma Juu ya Kuvuliwa Nafasi za Uongozi ndani ya CHADEMA

    kaka kabwe huaminiki tena siku hizi. kwa wenye akili tumeona wazi wewe umejipambanua kuwa unatumika kwa ajili ya kuidhoofisha chadema. pamoja na kwamba unakuja na porojo, lkn muonekano wako wa matendo ni kwamba unatumiwa na ccm kuhujumu chadema. hata kama utaamua kuendelea kuwa mwanachama wa...
  15. C

    Picha:Mkutano wa Slaa Alabama aibu tupu,10 wajitokeza kusikiliza mazungumzo yake

    Mkuu wangu umeongea vizuri sana,yaani vijana wengi wa Kitanzania au Watanzania tulio wengi kwa ujumla ni kama vile hatujui kabisa kufikiria vitu ambavyo ni critical!imagine mtu aliyeleta hoja hii anaejihita Taswira ni kiongoyi wa chama tawala ajulikanaye kwa jina la Mwigulu Nchemba,sasa...
Back
Top Bottom