MWIGULU NA SAKATA LA WANAFUNZI KUPELEKWA MAHAKAMANI,
Wanafunzi wa Vyuo vikuu nchini wasema, Mwigulu Nchemba ni mtetezi wa kweli wa Wanyonge, anaitwe SOKOINE WA PILI RASMI.
Kauli ya Ndg Mwigulu Nchemba kuwa wanafunzi wanaotuhumiwa kufanya migomo wasipelekwe MAHAKAMANI kimepokelewa kwa...
Mwigulu Nchemba
Akumbuka yatima, wenye uhitaji siku yake ya kuzaliwa
*Awataka wenye uwezo kusaidia makundi hayo
Claudia Kayombo
WATOTO yatima na makundi mengine yenye uhitaji maalumu wanatamani huruma ya wengine wakati wote, badala ya nyakati za sikukuu pekee.
Wanahitaji huruma kwa...
Na Lucas Mponji.
Ikiwa na siku chache tu tangu Comrade Mwigulu Nchemba atimize miaka 40(7.01,1975),Miaka inayompeleka moja kwa moja kuwa Mtumishi wa Umma wote wa Watanzania katika nafasi ya Urais.
Dr Festus Limbu ambaye ni Mbunge na Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti ameamua kujilipua, amesema...
Mwigulu Nchemba akiwasili Ukerewe hii leo mapema asubuhi.
Comrade Mwigulu Nchemba akiwaombea kura wogembea wote wa CCM-Ukerewe,Kubwa ni kwamba CCM ndio chama chenye Ilani inayotekelezwa hadi sasa,Na Ilani hiyo kwa asilimia kubwa imetekelezwa Nchi nzima,Hivyo wananchi waendelee kukiunga...
Naibu Katibu Mkuu CCM Bara akisalimiana na Wananchi wa Rulenga hii leo alipofika Kufunga Kampeni.za Uchaguzi wa serikali za.
Mwigulu Nchemba akisisitiza Wananchi kuwasimamia Viongozi watakao wachagua,kufuatilia mienendo yao.
Hakuna kiongozi wa Nchi hii atakaye iba mali ya Umma na akajisifia...
Comrade Mwigulu Nchemba akiwaisili Meatu Mjini mapema hii leo asubuhi kuzungumza na Wananchi.
Hisia za Wananchi wa Meatu Mjini kwa Mwigulu Nchemba
Kueleka Uchaguzi wa serikali za Mitaa Meatu wanasema hivi.....!!!Naibu katibu Mkuu CCM Bara akivalishwa vazi la Kisukuma hii leo kama ishara ya...
Naibu katibu Mkuu akisalimiana na watoto waliofika Kumpokea Kijiji cha Nyamikoma-Busega.
Comrade Mwigulu Nchemba akisalimiana na Wananchi wa kijiji cha nyamikoma-Busega hii leo.
Mwenyekiti wa Mkoa wa SIMIYU wa CCM akiwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa ACT wilaya ya Busega.
Mwigulu Nchemba akipokea...
Mapokezi ya Mwigulu Mwanza jioni ya leo tar 12.12.2014 Viwanja vya shule ya Msingi Mabatini.
Mwigulu Nchemba akiwasili Viwanja vya Mabatini akiwa amongozana na Mwenyekiti wa Geita Ndugu Joseph Msukuma.
Wananchi wakifurahia Ujio wa Naibu Katibu Mkuu CCM Bara Comrade Mwigulu Nchemba.
Mwigulu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.