Recent content by CHAPA2015

  1. C

    Sakata la Wanafunzi Elimu ya Juu Kupelekwa Mahakamani,Mwigulu asimama na Wanafunzi

    MWIGULU NA SAKATA LA WANAFUNZI KUPELEKWA MAHAKAMANI, Wanafunzi wa Vyuo vikuu nchini wasema, Mwigulu Nchemba ni mtetezi wa kweli wa Wanyonge, anaitwe SOKOINE WA PILI RASMI. Kauli ya Ndg Mwigulu Nchemba kuwa wanafunzi wanaotuhumiwa kufanya migomo wasipelekwe MAHAKAMANI kimepokelewa kwa...
  2. C

    Katika kutimiza miaka 40, Mwigulu atoa zawadi ya damu kwa Watanzania

    Mwigulu Nchemba Akumbuka yatima, wenye uhitaji siku yake ya kuzaliwa *Awataka wenye uwezo kusaidia makundi hayo Claudia Kayombo WATOTO yatima na makundi mengine yenye uhitaji maalumu wanatamani huruma ya wengine wakati wote, badala ya nyakati za sikukuu pekee. Wanahitaji huruma kwa...
  3. C

    Dr. Limbu,Mbatia,Cheyo wamtaja Mwigulu kuwa Rais ajaye,Wamuonya asiwaangushe

    Anza Process hata wa Palestina unakufaaa
  4. C

    Dr. Limbu,Mbatia,Cheyo wamtaja Mwigulu kuwa Rais ajaye,Wamuonya asiwaangushe

    Na Lucas Mponji. Ikiwa na siku chache tu tangu Comrade Mwigulu Nchemba atimize miaka 40(7.01,1975),Miaka inayompeleka moja kwa moja kuwa Mtumishi wa Umma wote wa Watanzania katika nafasi ya Urais. Dr Festus Limbu ambaye ni Mbunge na Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti ameamua kujilipua, amesema...
  5. C

    Taswira ya Mkutano wa Mwigulu Ukerewe hii leo,ni wazi CHADEMA haipo 2015

    Mwigulu Nchemba akiwasili Ukerewe hii leo mapema asubuhi. Comrade Mwigulu Nchemba akiwaombea kura wogembea wote wa CCM-Ukerewe,Kubwa ni kwamba CCM ndio chama chenye Ilani inayotekelezwa hadi sasa,Na Ilani hiyo kwa asilimia kubwa imetekelezwa Nchi nzima,Hivyo wananchi waendelee kukiunga...
  6. C

    Mwigulu Nchemba apokelewa Kifalme Rulenge-Ngara

    sURA YA MWANAUME HIYO,Sio yakwako kama dada yangu
  7. C

    Mwigulu Nchemba apokelewa Kifalme Rulenge-Ngara

    Mwigulu ni habari nyingine,Ndiye next TP
  8. C

    Mwigulu Nchemba apokelewa Kifalme Rulenge-Ngara

    Pole sana naona Msumari umekuchoma kunako
  9. C

    Mwigulu Nchemba apokelewa Kifalme Rulenge-Ngara

    Naibu Katibu Mkuu CCM Bara akisalimiana na Wananchi wa Rulenga hii leo alipofika Kufunga Kampeni.za Uchaguzi wa serikali za. Mwigulu Nchemba akisisitiza Wananchi kuwasimamia Viongozi watakao wachagua,kufuatilia mienendo yao. Hakuna kiongozi wa Nchi hii atakaye iba mali ya Umma na akajisifia...
  10. C

    Mwigulu atikisa Meatu Mjini hii leo,Wananchi wabeba Mabango haya hapa

    Comrade Mwigulu Nchemba akiwaisili Meatu Mjini mapema hii leo asubuhi kuzungumza na Wananchi. Hisia za Wananchi wa Meatu Mjini kwa Mwigulu Nchemba Kueleka Uchaguzi wa serikali za Mitaa Meatu wanasema hivi.....!!!Naibu katibu Mkuu CCM Bara akivalishwa vazi la Kisukuma hii leo kama ishara ya...
  11. C

    Mwigulu alivyotikisa busega leo,mwenyekiti wa act wilaya aamua kuhamia ccm

    Naibu katibu Mkuu akisalimiana na watoto waliofika Kumpokea Kijiji cha Nyamikoma-Busega. Comrade Mwigulu Nchemba akisalimiana na Wananchi wa kijiji cha nyamikoma-Busega hii leo. Mwenyekiti wa Mkoa wa SIMIYU wa CCM akiwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa ACT wilaya ya Busega. Mwigulu Nchemba akipokea...
  12. C

    Picha,Mwigulu aiteka Mwanza hii leo, Wananchi Wamesema hawatarudia makosa 2015

    Mapokezi ya Mwigulu Mwanza jioni ya leo tar 12.12.2014 Viwanja vya shule ya Msingi Mabatini. Mwigulu Nchemba akiwasili Viwanja vya Mabatini akiwa amongozana na Mwenyekiti wa Geita Ndugu Joseph Msukuma. Wananchi wakifurahia Ujio wa Naibu Katibu Mkuu CCM Bara Comrade Mwigulu Nchemba. Mwigulu...
Back
Top Bottom