Recent content by Chaos Master

  1. C

    Kiufundi Simba Kuna tatizo kubwa

    Wachezaji wanajituma ila tu hakuna kiongozi uwanjani wa kuituliza timu ikiwa na presha na ule utulivu katika final third haupo ila ni swala la muda tu timu itakaa sawa
  2. C

    Kwako Barbara - CEO Simba Sports Club

    "Kosa jingine kumtimua Gomes kwani hata atakaye kuja atahitaji mda wa kuijenga timu,bora mngemwacha na kumpa time frame ya mechi kama tano, then kama hasinge deliver ndipo mngemtimua" CC joseph1989 Didier Gomes Da Rosa amefukuzwa au kuvunjiwa mkataba wake baada ya kuvunjika kwa miongoni mwa...
  3. C

    Kiufundi Simba Kuna tatizo kubwa

    Simba imeimarika sana msimu huu kuliko msimu jana kama kigezo ni mechi nne za awali.....!!! MSIMU JANA (1) Ihefu 1 Simba 2 (2) Mtibwa 1 Simba 1 (3) Prisons 1 Simba 0 (4) Simba 0 Ruvu 1 MSIMU HUU (1) Biashara United 0 Simba 0 (2) Dodoma jiji 0 Simba 1 (3) Simba 1 Police Tanzania 0 (4) Simba 0...
  4. C

    Simba tafadhali msimchukue yule kocha wa Mamelodi, please mtajuta sana

    Simba imeimarika sana msimu huu kuliko msimu jana kama kigezo ni mechi nne za awali.....!!! MSIMU JANA (1) Ihefu 1 Simba 2 (2) Mtibwa 1 Simba 1 (3) Prisons 1 Simba 0 (4) Simba 0 Ruvu 1 MSIMU HUU (1) Biashara United 0 Simba 0 (2) Dodoma jiji 0 Simba 1 (3) Simba 1 Police Tanzania 0 (4) Simba 0...
  5. C

    Mkubwa fela anastahili sanamu ya heshima

    OSATA ndo kina Nan hao chief?
  6. C

    Mkubwa fela anastahili sanamu ya heshima

    Biashara yao Ilikua GG Fella alikua anafaidika lakini Hata YAMOTO walinufaika chief, Financial na hata kukuza majina yao Kwan hadi leo ugali wao ni mchango wa fella kuwapa majina
  7. C

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    🚨 Thomas Tuchel full pre #MALCHE UCL Match conference ▪️Tuchel confirms Mount, Lukaku, Werner and Kovacic all out. Chelsea have tested him for Covid and he is negative, he is just ill. Tuchel confirms what I said that Pulisic is back. ▪️Tuchel on Gilmour being recalled from Norwich: "We will...
  8. C

    Ronaldo De Lima Amazing records from Age 16 to 21 yrs

    Hilo Halina ubishi siku hizi tuna target man hatuna namba tisa kama yake tena
  9. C

    Ronaldo De Lima Amazing records from Age 16 to 21 yrs

    Hapo sina data Rasmi ila nahisi alipita idadi bila ya shaka
  10. C

    Ronaldo De Lima Amazing records from Age 16 to 21 yrs

    Sidhani ila ule msimu Messi aliofunga goli hamsini hakuivunja hii kweli?
  11. C

    Ronaldo De Lima Amazing records from Age 16 to 21 yrs

    Ahsante kwa kujazia nyama mkuu ila rekodi ya Barcelona asee inashangaza sana mechi 49 goal 47 na assist 12 msimu mmoja
  12. C

    Wasanii waliotazamwa sana ndani ya mwezi wa kumi katika mtandao wa YouTube

    Kwa nini ukasirike kwa kuzungumziwa Diamond Chief?
  13. C

    Ronaldo De Lima Amazing records from Age 16 to 21 yrs

    El Fenómeno - Ronaldo Lima Between The Age of 16 to 21 was UNREAL. 🤯🔥 — Scored 186 Goals & was Involved in 225+ Goals for Club & Country in His First Five Seasons as a Professional Player. 🥵🔥 — Won The Fifa World Cup 1994 & Was The Runner-up at The Fifa World Cup 1998 🏆🥈 — Was The Runner-up...
  14. C

    Mkubwa fela anastahili sanamu ya heshima

    ''MKUBWA FELA ANASTAHILI SANAMU YA HESHIMA. Usiku wa jana sijalala kabisa, kwani nilizongwa na kumbukumbu ya safari ya Muziki na maisha. Mbali ya kuwakumbuka watu wengi, Kichwani mwangu ilikuja picha ya darasa lenye Watoto Wanne wenye Masauti yanayogonganisha mashairi yasiyochosha. Ni kweli...
Back
Top Bottom