mkiambiwa viongozi wa chama chenu majangili hamsikii bado mnawatetea tu kufa na kupona ngojeni siku mkifanywa kama aloyafanya mfadhili wa sam luhanga kwa mfanyakazi wake mwende mkashtaki kwa mtoto wa mkulima badala ya polisi
Lindi na Mtwara watasubiri sana maana wamekubali kuwa upande wa magamba basi acha wafanywe vyovyote vile hata ikibidi wauzwa oman na iran maana gesi wananyonywa,korosho wananyonywa na magamba wanayapa kura tu..watakalia pombe ya mabibo na kushindia mihogo na ufuta wakiwa na tishet zao na kanga...
Ritz naona una hasira na mzee tupatupa kuwa na mawazo tofauti na nyie ee? Tafadhali usimlazimishe kuhamia cdm huyo ni mwenzenu mvumilieni tu. Mbona ninyi mnafurahi mkiona wa hvyo cdm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.