Habarini Wana Jambo hili muhimu.
Naombeni msaada wa kupata Muongozo wanamna ya jifungua au kuanzisha CHUO kwa kozi za afya ili nijue taratibu na Sheria za uanzishaji wa kozi hizo.
Habarini za mchana ndugu zangu Wana jamvi.
Ninaomba msaada wa kupata uzoefu na mahitaji yanayo takiwa katika kuanzishia biashara ya Ice cream zenye ubora kwa mtaji wa TSH milioni 4.
Nilipo nipo maeneo ya Wilayani ambalo shule ni nyingi zahanati, masoko, na stendi za magari.
Nashangaaa tumekuwa wakali sana ktk hili na kuto iamini serikali, wakati kibiti matukio ya mauaji tulikuwa kimya sana na hakukuwa na ubusy wa watu kuongelea matukio hayo kama hili LA Leo,
Mungu ilinde Tanzania ieendelee kuwa ni nchi yenye amani siku zote, AMINA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.