Recent content by CHANGILA

  1. C

    Mass resignation ya madaktari

    serikali inapaswa kuangalia kwa umakini zaidi, maana hapa mr dr nayeye asimamie drs.
  2. C

    Hatimaye luhanjo amedodoshwa ktk kinyang'anyilo cha makao makuu ya wilaya mpya ya wanging'ombe

    Isoliwaya wanging'ombe kuna miundombinu safi kuliko hata huko Mkoani NJOMBE ambapo wangeweza kuitumia ile iliyokuwepo na shughuri zingeendelea sema hapa wanataka kuwaandikia watu proposal ya office mpya2 kha!!!! twifwa twilola.
  3. C

    Hatimaye luhanjo amedodoshwa ktk kinyang'anyilo cha makao makuu ya wilaya mpya ya wanging'ombe

    Jamani wana JF huko wanakosema IGWACHANGYA ni kweli panaweza pakawa katikati lakini chakujiuliza panamiundombinu gani kwa wazalendo ambao watahitaji huduma kutoka huko??? Ninavyojua mimi kuja WANGING'OMBE ingekuwa karibu zaidi kwa watu wengi ambao wangehitaji huduma kwa haraka kuliko hapo...
  4. C

    Kura zimetosha za wabunge tuondoe nduri umasikini,unyayasaji wizi

    Wabunge Walio Saini, Kwa Majina 1. Rashid Abdala CUF 2. Chiku Abwao CDM 3. Salum Barwany CUF 4. Salum Mbaruku CUF 5. Deo Filikunjombe CCM 6. Pauline Gekuli CDM 7. Asaa Hamad CUF 8. Prof Kahigi CDM 9. Naomi Kaihula CDM 10. Sylvester Kasulumbaya CDM 11. Raya Khamis CDM 12. Mkiwa Kiwanga CUF 13...
  5. C

    Kura zimetosha za wabunge tuondoe nduri umasikini,unyayasaji wizi

    Jameni wadau kura za wakubwa bado tu?
  6. C

    My Opinion: Kati ya hawa watatu LAZIMA mmoja awe rais 2015

    BUNGENI: Mgomo wa madaktari na Sheria ya Bodi ya Mikopo Asubuhi ya leo Naibu Spika Job Ndugai alitumia kanuni vibaya kuzuia hoja ya dharura bungeni kuhusu mgomo wa madaktari. Kimsingi, sikuwasilisha hoja ila niliomba muongozo wa Spika ili niweze kupatiwa nafasi ya kuwasilisha hoja ya dharura...
Back
Top Bottom