Fredy donnie
New Member
- Jan 15, 2012
- 1
- 0
suala la wapinzani kuchukua urais 2015..!ni jambo gumu ila kama zikitokea jitihada bas ni selikal ya mseto.kwa sababu wachakachuaji ndo wananjia mpya za kuchaka chua..!
Kumshindanisha dr Slaa na hawa jamaa ni kumshushia hadhi yake mbele watz wanaomwamini kupita mtu yeyeto kwa sasas ndani ya taifa hili.
:A S 465:EAST OR WEST LOWASA IS THE BEST ana Msimamo, Muwajibikaji na Mwepesi wa kufanya Maamuzi magumu na kuyasimamia.Haya mambo mengine ya Kumchafua yanatokana na Vita vya Kisiasa kwa vile ili upate nafuu kisiasa hauna budi kumchafua unayedhani ni tishio kwako, hao wengine wawili hata huyo Asharose na Membe hakuna kitu labda kidogo Anna Tibaijuka sioni kama wanastahili kwa vile hakuna kubwa walilokwisha fanya tukaona "impact" yake.KEEP IT UP EDWARD NGOYAI LOWASSA niko nyuma yako naamini yo shall MAKE A FIFTH TANZANIA PRESIDENT:A S 465:
Mi naungana na Lil Sun. Tanzania tuna ugonjwa wa kuchagua bora kiongozi na si kiongozi bora. Kati ya waliopita, jembe alikuwa Mwalimu Nyerere tuu. Tunataka kiongozi ambaye hafungwi na misingi ya udini, bali uchungu na uzalendo kwa taifa lake ndiyo nira na dira yake, kama ilivyo kwa Jembe la Rwanda Bw. Kagame. Hapa bongo ni Dr. Slaa pekee.
Mh.Edward lowasa hebu turudi nyuma hiyo rich mond epa sijui rada imefanyika wakati gani maana mnawaacha mawaziri wa mambo yanje wao ndio wanajua habari zote usione lowasa aliamua kujiuzulu kirahisi ukadhani alipenda huyo alichafuliwa sana jina kutokana na Nguvu kubwa ya kisiasa aliyenayo pia anajiamini sana kwanini hujiulizi ex-spika ndio anaendeleza mambohayo. Tafuta chanzo ndio ulaumu kuwa hafai atakapo pata hiyo nafasi nchi hii on line so Lowasa na slaa nawatazamia kwa nafasi kubwa