Siyo wa kubadilishana, nimeomba wa nafasi supervisor akaaprove baada ya hapo nikitaka kusubmit tena kwenda kwa mkuu wa idara inaniandikia " vacancy not budgeted"
Habari Wadau,
Mwenye uelewa juu ya kuomba maombi ya Moja kwa Moja kwenye mfumo naomba ufafanuzi. kati ya vacancy request na transfer request kipi kinatangulia?
Je kutokujaza vacancy request inaweza ikapelekea maombi yako kukataliwa au kuandikiwa "vacancy not
badgeted"?
vifaranga vya kuku wa kienyeji vinajisaidia kinyesi kilichochananyikana na damu nimejaribu tumia esb3 kwa mda kama wiki na nusu ila bado tatizo linaendelea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.