Recent content by change we need

  1. C

    Tundu Lissu unasubiri nini Kujiuzulu? Umetudhalilisha

    kinachonifanya nisikuamini ni level yako ya uelewa na ufafanuzi au maelezo yako..too shallow/below standard..
  2. C

    Kilio cha Mlalahoi: Kupanda kwa bei ya umeme wanasiasa mko wapi?

    kama wananchi tunatatizo la msingi ambalo nikijiuliza huwa sipati majibu yaani ni kama hatujielewi(zombie)
  3. C

    Sitta: Nafaa kuwa Rais wa Tanzania!

    lowasa for presidency! hana mpinzani Mr. six anajua hilo ni kama kujaribu kuweka speed gavana tu lakini jamaa anatisha..usifanye mchezo na pesa. !
  4. C

    TANZIA Waziri wa Fedha, Dkt. Willliam Mgimwa afariki dunia!

    kazi ya mungu!lakini bado tatizo la ugonjwa halijawekwa wazi
  5. C

    Dk. Mwakyembe: Ninajitoa mhanga katika mapambano ya madawa ya kulevya nchini

    Ni mawazo mazuri ili kuokoa taifa hili...lakini sijui kama ataweza tumuombee! but as long as he declared as a dead person tumpe sapoti tu
  6. C

    Rais Kikwete akutana na Wabwia Unga Ikulu Dar es salaam

    kama kawa anashughulikia matawi wakati mizizi ipo..haiguswi vp labda amewauliza majina ya vigogo wanaoleta na kuuza unga.
  7. C

    Bunge latenga zaidi ya Bilioni 5 kukarabati Jengo la Bunge

    Serikali hii inayoongozwa na CCM ni janga la kitaifa,watu wanatafuta mafao ya kwenda kula maisha baada ya bunge kuisha 2015..huwa nashindwa kuelewa kama kweli sisi watanzania ni kama watu wengine...nafikiri tumetoka sayari nyingine duniani!!
  8. C

    Dr Benson Bana ni nani kwa Nchi hii?

    nafikiri kama mawazo yako yanataka kufanana na ya kwangu!!! nimekuwa nikijiuliza sana kuhusu huu mtu DR.Benson Bana, baada ya Mkandala kuukwaa uongozi kama vice chancellor pale mlimani kupitia REDET(Kusifu Mgamba)na baada ya MTU MWENYE JINA GUMU aliyeteuliwa tume ya warioba sijui Palamagamba...
  9. C

    Nampenda sana waziri Magufuli, ni waziri ambaye hana mfano

    photogenic,publicity,pomposite na kukuriri vitu..
  10. C

    Kikwete afanya mabadiliko makubwa ya Baraza la Mawaziri - Aprili 2012

    mwenzako makamba kaula...mtandao wako bado mdogo dr...
  11. C

    Dk. Tizeba, utaweza kufanya kazi na Magufuli aliyekufukuza pale Mwanza City Council!?

    Huyu jamaa alionyesha uwezo mdogo sana wa kiongozi na utawala alipokuwa pale Sikonge kama mkuu wa Wilaya!! achilia madudu aliyofanya akiwa Mhandisi pale MZA,nashangaa kwa uwezo wake huo mdogo leo amekuwa Naibu waziri... au tuamini yale maneno yake kuwa jamaa ni mshikaji wake kauli ambayo...
  12. C

    Dawa ni wizara nyeti ziongozwe na wanawake

    jipange upya! Haukuwepo wakati wa EPA na matokeo yake yanavyotesa mpaka sasa? Ni nani Zakia Meghij a.k.a Mkwe na wizara ya fedha?
  13. C

    Wapi Hamis Kigwangala (Mbunge)?

    mchumia tumbo huyo!!mbona wamo wengi lakini walivyo wanafiki wakati wanaongea mpaka povu linawatoka utadhani kweli wanauchungu!!
  14. C

    Mchanganuo wa gharama ya Safari ya Rais Kikwete huko Brazil huu hapa

    Kuendelea nchi hii haiwezi..angalia maisha yalivyo magumu watu wanavyotabika mahospitali,wakulima vijijini,bei ya nyakula iko juu,no body cares!! unganisha safari zote za mheshimiwa piga hesabu halafu chukua ripoti ya CAG kwa miaka 4 mfululizo uone hayo mabilioni yanavyopotea then jumlisha!!
Back
Top Bottom