mchambakwao
Member
- Dec 9, 2011
- 77
- 14
Wana bodi habari!
Katika watu waliokuwa wanasema ni watetezi wa rasilimali zetu hapa nchi,ni huyu mbunge.Nimeshangazwa na kutokuliona jina lake kwenye ile list ya waheshimiwa wabunge waliotia sahihi kutokuwa na imani na premiere waziri.
Nauliza wapi huyu mheshimiwa kwenye hili?
Si huyu tu kuna yule mbunge wa Nzega naye nimejaribu kumfuatilia alikuwa na katabia kama cha Mh.Kigwangala,lakini naye simuoni kwenye list,ni nguvu ya soda na unafiki?
Katika watu waliokuwa wanasema ni watetezi wa rasilimali zetu hapa nchi,ni huyu mbunge.Nimeshangazwa na kutokuliona jina lake kwenye ile list ya waheshimiwa wabunge waliotia sahihi kutokuwa na imani na premiere waziri.
Nauliza wapi huyu mheshimiwa kwenye hili?
Si huyu tu kuna yule mbunge wa Nzega naye nimejaribu kumfuatilia alikuwa na katabia kama cha Mh.Kigwangala,lakini naye simuoni kwenye list,ni nguvu ya soda na unafiki?